Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,119
- 136,859
Nyani Ngabu, tumemiss mapicha ya States mkuu! Sumu, KARANJA 007, Masunga Maziku, mnamkumbuka huyu jamaa?
Nyani Ngabu, tumemiss mapicha ya States mkuu! Sumu, KARANJA 007, Masunga Maziku, mnamkumbuka huyu jamaa?
Hata simwiti,mwacheni dada wawatuUnataka ukamchukue utuletee tena?
Kasusa amenyimwa visa.![]()
![]()
![]()
Ally wangu yupi?
HahahahajaLol. Nisaidie kucheka. Hapo hajapewa kichambo anaomba misamaha na kiingereza cha Misungwi... akichambwa si atabadili ID au kuhama JF.



"JF IS NEVER BORING" The BossMambo ya kubeep, hayo mkuu, si unaona mwenzio, mpaka kaharibu mimba changa.Hahahahaja"JF IS NEVER BORING" The Boss
Nyani Ngabu umenifanya muda wote nachungulia humu kwa ajili ya hizi picha, kweli wanawake ndio maana huwa wanalowa wakikutana na M-USA!
Ilibidi niwapishe kwanzaNdio, ulimkimbia jana. Kweli marafiki utawajua wakati wa shida!
ValentinaIlibidi niwapishe kwanza
Abee kakaValentina
Mkuu huo mzimu sijui ulitokea wapi, kweli naweza kuamini kuna maiti huwa zinaibuka makaburini halafu zinakuja kusumbua watu uraiani!
Mnanataka arudi tena, yuko busy siunajua majukumu ya director.
Abee kaka