Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Dada yangu mwenyewe si unaona, mpaka mtu kaja na kudai yeye anaishi NYC na mkurugenzi wa kampuni, sasa jamani!
Nilivyoingia NYC katika kulijua jiji nilikuwa nazungumza na mzee mmoja OG wa NYC long time. Tukawa tunaongea NYC creds. Nikawa nauliza kwa nini NYC ina rep ya kuwa arrogant as shyt. Mkubwa akasema NYC kuna wakuja na wale wa zama na zama. Wakuja ndio wana matata sana ya kusema "nakaa NYC" and all that crazy talk. Wakati watu waliokaa miaka na miaka hata hawana kujishaua kwa sababu wanaona kukaa NYC kitu cha kawaida.

Kwa hiyo ukimsikia mtu anajisifia mkurugenzi wa kampuni fulani nakaa NYC ujue huyo karubandika.

Wakurugenzi wenyewe utaambiwa tu habari zao. Tena hawataki hata kujulikana.
 
Nilivyoingia NYC katika kulijua jiji nilikuwa nazungumza na mzee mmoja OG wa NYC long time. Tukawa tunaongea NYC creds. Nikawa nauliza kwa nini NYC ina rep ya kuwa arrogant as shyt. Mkubwa akasema NYC kuna wakuja na wale wa zama na zama. Wakuja ndio wana matata sana ya kusema "nakaa NYC" and all that crazy talk. Wakati watu waliokaa miaka na miaka hata hawana kujishaua kwa sababu wanaona kukaa NYC kitu cha kawaida.

Kwa hiyo ukimsikia mtu anajisifia mkurugenzi wa kampuni fulani nakaa NYC ujue huyo karubandika.

Wakurugenzi wenyewe utaambiwa tu habari zao. Tena hawataki hata kujulikana.

Ohooo sasa mazee na wewe hapo hujasaidia katika kupoza joto lililopo humu.

Usije anza shukiwa kuwa wewe ndo mwanzisha mada kama tulivyoshukiwa wengine....
 
Wanaume wa Marekani mna nini?
Ukoloni mambo leo na akili ya utumwa inayokufanya kusahau mila, desturi na utamaduni wako utaendelea tesa jamii ya ki Tanzania mpaka watoto na vizazi vyetu vipate elimu na kuanza kuamini nasi twatakiwa kuwa na mwelekeo wetu, ikifika Mtanzania anaamini nchi ya kigeni alipo ni kama mbinguni na kama ni sehemu ya kunyanyasa watoto na dada zetu basi tujuwe huko waendako wanazidi potea, sijaona kama kumesemwa akirudi makampuni yanamkimbilia kumuajiri, au mabenki yanamtamani aweke hela zake huko, au wajenzi wanamkimbilia awape tender za ujenzi, au wakulima wanamuonea donge na matrekta na malori au maplau aliyorudi nayo?! Ila kaongea jinsi wakina dada wanavyotamani kuwa naye?! Inasikitisha sana, wazazi, wajomba, mashangazi, kaka na dada, jamii na kina @MagufuliJP na wenzake kazi wanayo...
 
Daaah kweli Marekani nomaaa.
Nyoja nitafute ile wanaita viza sijui nikachungulie
 
Ukoloni mambo leo na akili ya utumwa inayokufanya kusahau mila, desturi na utamaduni wako utaendelea tesa jamii ya ki Tanzania mpaka watoto na vizazi vyetu vipate elimu na kuanza kuamini nasi twatakiwa kuwa na mwelekeo wetu, ikifika Mtanzania anaamini nchi ya kigeni alipo ni kama mbinguni na kama ni sehemu ya kunyanyasa watoto na dada zetu basi tujuwe huko waendako wanazidi potea, sijaona kama kumesemwa akirudi makampuni yanamkimbilia kumuajiri, au mabenki yanamtamani aweke hela zake huko, au wajenzi wanamkimbilia awape tender za ujenzi, au wakulima wanamuonea donge na matrekta na malori au maplau aliyorudi nayo?! Ila kaongea jinsi wakina dada wanavyotamani kuwa naye?! Inasikitisha sana, wazazi, wajomba, mashangazi, kaka na dada, jamii na kina @MagufuliJP na wenzake kazi wanayo...

Come on dude!

Why are you so uptight?

It ain't that serious.
 
Mmmhhhh,labda jina lkn sijaona cha ajabu nchi yenyewe ngumu angejua bila kuvuja jasho mambo hayaendi labda uwe changu doa,kila kitu kodi ya usoni inumiza bora kwetu walishajikatia kodi kabla bidhaa haijakufikia angalau huifeel maumivu yake. Marekani ht kumpiga mtu mzinga huwezi lbd ukopeshwe angalau bongo unamtia mtu mzinga ht jero atakupa na ndio maana wengi hawapendi kazi bongo anajua virungu nje nje ataishi. Wenzao wanahenyeka huko wakija bongo kutumia na kupumua sasa yale matumizi ndio yanayowachanganya wanawake wa bongo hawaelewi kuwa wenzao wapo likizo.
 
Ukoloni mambo leo na akili ya utumwa inayokufanya kusahau mila, desturi na utamaduni wako utaendelea tesa jamii ya ki Tanzania mpaka watoto na vizazi vyetu vipate elimu na kuanza kuamini nasi twatakiwa kuwa na mwelekeo wetu, ikifika Mtanzania anaamini nchi ya kigeni alipo ni kama mbinguni na kama ni sehemu ya kunyanyasa watoto na dada zetu basi tujuwe huko waendako wanazidi potea, sijaona kama kumesemwa akirudi makampuni yanamkimbilia kumuajiri, au mabenki yanamtamani aweke hela zake huko, au wajenzi wanamkimbilia awape tender za ujenzi, au wakulima wanamuonea donge na matrekta na malori au maplau aliyorudi nayo?! Ila kaongea jinsi wakina dada wanavyotamani kuwa naye?! Inasikitisha sana, wazazi, wajomba, mashangazi, kaka na dada, jamii na kina @MagufuliJP na wenzake kazi wanayo...

Kwa hiyo hoja yako ni nini hapa? Kwa sababu mada inahusu swala la mapenzi. Wewe ulitaka kila kitu kiandikwe hapa au?
 
Zamani wakati nakua nilijionea jinsi watu hasa akina dada na vijana walivyokuwa wanafanya juhudi kuzamia nchi mbalimbali, hasa South Africa, UK na baadhi ya nchi za Scandinavia, zikiongozwa na Sweeden na Norway. Binafsi nina kumbukumbu ya wanawake 2 ambao walitoroshwa na wazungu waliokuja kutalii, mmoja kwenda Norway mwingine Sweeden kutokea. Hao wanawake walikuwa wameolewa na wana watoto. Mmoja hadi hivi karibuni amekuwa akituma vitu hadi magari yanakuja kwa mmewe aliyemtelekeza, sijui walikula dili kuibia mzungu au vipi! Nawafahamu akina dada waliotokomea UK kwa kutoroshwa na wazungu au kutokana na tamaa na wengine kwa dili za kimagumashi, lakini wakaishia kuolewa na wanigeria au wakongo, ndoa pia hazikudumu, sasa ni mwendo wa stress tu.

Sasa kuna rafiki yangu alikuja bongo kutoka USA mwaka jana, mwezi wa 12, alah, jamaa anachati na wanawake kama 20 hivi! Nilimshtuka, kwa sababu wakati tukiwa tunapiga story anakuwa busy sana na simu, anarusharusha maneno kama vile haelewi mada, ndio baadaye kaniambia napata shida hapa kuna wanawake wamenizonga wengine wake za watu! Nikamwambia mmefahamianaje? Akasema kupitia social media. Jamaa alivyonionyesha msgs wakichati nikasema, God come back soon! Wanawake wanajilengesha kila mmoja anamtaka jamaa. Nikamwambia jamaa yangu utaingia mkenge, kuwa makini, utang'ang'aniwa na limwanamke halina nyuma wala mbele, wengine kama ulivyosema ni wake za watu. Kwa hiyo jamaa akawa anawapiga sana chenga, kama vile niko busy au nina siku chache tu nataka kurudi halafu mambo mengi. Yaani wanawake walikuwa wanajiliza, mfano "Nyani Ngabu yaani unaondoka hivihivi bila kuonana na mimi, haya bwana, sawa".

Hii hali haikusihia hapo, juzi nipo na jamaa yangu mwingine ni wa USA, namsindikiza kwenda Uhamiaji, alikuwa anaenda kurenew passport, ghafla nikakutana na shemeji yangu mmoja (shemeji asiye na undugu) mitaa ya mjini. Nikamwambia tuna haraka, alivyohojihoji, nikamjibu, namsindikiza jamaa yangu Uhamiaji, anaenda kurenew passport, yeye anaishi USA, ghafla macho yake yakahamia kwa jamaa, mara akamsalimia tena kwa kumshika mkono, alikuwa anaenda uelekeo tofauti akatufuata sasa. Wakati wa kuachana akaniomba namba, nikampa. Dakika kama tano baadaye naona text message "Huyo jamaa ana issue gani USA?", nikamwambia anafanya kazi. Akaniuliza "Ameoa", duh nikajisemea hii mbona sio heshima, nikamjibu bado amesema akipata mke pia anaoa. Oohooo, akajibu, "mwambie aje mimi nipo bwana natafuta mchumba au sio shem". Nikamjibu, na mme wako je, maana kwa kumbukumbu zangu ni kama ulishaolewa? Akajibu, "mtu mwenyewe haeleweki", nikajisemea huyu vipi, nikawa kimya kwa muda, baadaye akajibu, "Kwanza mwenye kisu kikali ndiye anayekula nyama, shangaa". Nilipigwa butwaa, nikamjibu nitamwambie akutafute, akajibu "Kama vipi nipe namba yake". Niliishia hapo.


Sasa wanaume wa USA mna nini? Mbona wanawake wanapagawa sana na nyie, kwa nini? Mfano, baharia kila leo ameambatana na lundo la wasichana pamoja na uzee wake wote, kisa aliwahi kutua USA, najiuliza mna nini jamaa zangu nyie? USA kuna uchawi wa kunasa wanawake nchini Tanzania?

USA Baby!
USA baby.
 
Hahahaaa..

You got it!
Kwakweli nimeipenda.
Hii mada imenikumbusha movie moja ya Kinigeria "American dream" kama sikosei.
Mwanafunzi wa nursing alidata kwa wanigeria waliokuwa wanatoka America. Mwisho wa siku akajiingiza kwa muameeica fake kwa kupenda boys from America

America baby!
 
Back
Top Bottom