Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Jamani mwenye taarifa za kiintelijensia kuhusu Valentina hebu tukutane pm, sijaishiwa mbinu za kijasusi ila nataka kuconfirm kitu fulani.
 
Hahahaa. Declaration of defeat, I am humbled. Next time be careful in choosing your battle #womenofsubstancerock.

Mkuu mimi nina wasiwasi kama ni mwanamke, pindi nitakapojiridhisha na hilo, mission yangu itaendelea, katika database yangu wasichana wote tuliokwaruzana tena vibaya mno ndio walikuja kuwa marafiki. Sijawahi kuinua mikono.
 
Mkuu mimi nina wasiwasi kama ni mwanamke, pindi nitakapojiridhisha na hilo, mission yangu itaendelea, katika database yangu wasichana wote tuliokwaruzana tena vibaya mno ndio walikuja kuwa marafiki. Sijawahi kuinua mikono.

Hauna means za kuthibitisha jinsi yangu.

Halafu, hapa ndo unahesabu umekwaruzana? Jaribu kukwaruzana nikupe kichambo cha haki kama hujafuta kauli yako ... 'wote niliokuwaruzana tena vibaya mno ndio walikuja kuwa marafiki'.

Kwa taarifa yako wengine JF tunakuja kupata news and knowledge, sio marafiki. So just you know.
 
Hapa ndo unahesabu umekwaruzana? Jaribu kukwaruzana nikupe kichambo cha haki kama hujafuta kauli yako ... 'wote niliokuwaruzana tena vibaya mno ndio walikuja kuwa marafiki'.

Kwa taarifa yako wengine JF tunakuja kupata news and knowledge, sio marafiki. So just you know.

Huwezi kunipa kichambo, huna huo uwezo. Haujulikani jinsia yako kwa sasa, huwa sifanyi kazi z hasara.
 
Hauna means za kuthibitisha jinsi yangu.

Halafu, hapa ndo unahesabu umekwaruzana? Jaribu kukwaruzana nikupe kichambo cha haki kama hujafuta kauli yako ... 'wote niliokuwaruzana tena vibaya mno ndio walikuja kuwa marafiki'.

Kwa taarifa yako wengine JF tunakuja kupata news and knowledge, sio marafiki. So just you know.
Hata hotelini watu huenda kula chakula na kujikuta wanakula na cone ice cream kama desert ili hali hawakupanga hivyo.
 
Nyie vijana usiku mwema na kwaherini. Nitamiss vituko vyenu....
Usiku bado haujawa mwingi,haraka ya nini?,au mzee yupo leo? au umeitwa chumbani na shemeji nini,niambie ukweli nikupe trick za kumpagawisha mpaka akuandikie hiyo nyumba urithi au vipi?
 
Back
Top Bottom