Habari wanajamvi,
Nadhani sisi wanaume wa Kisukuma ndo tunaongoza kwa kupenda na kujali wanawake zetu. Hii inachagiwa hasa kwa kuwa asili ya Wasukuma ni wakarimu sana, wapole, wanyenyekevu, waungwana na tunaojua kupenda kwa dhati.
Nadhani hata kwa wale dada zetu ambao wamewahi kutoka na Wasukuma watakuwa mashahidi wa hili.
Wasukuma wapole na wasweet ni wa huko maporini huku dar wanajikuta kupita maelezo yaani msukuma wangu mbona ananikomesha nao wanajua kuwa wadada wanawapenda hayo maringo sasa ni kero
Ndugu yangu aliolewa na msukuma wakaishi chumba kimoja. Kwa kadri yaisha yalivyowanyookea ndivyo maisha ya ndoa yalivyoharibika. Bawna yule dharau majivuno vikawa havisemeki. Akakusanya ndugu zake kibao wamekaa tu kila kazi wanaacha maana kaka ana pesa. ni malimbukeni sana akipata pesa anataka ukoo wote umtambue, hata katika mazungumzo utasikia "fulani aaah pesa hana bure tu" basi na vile wanavyokaza sauti....
Hehehe hata ukubwa,utamu wa pipe zetu wanajua dada Zhao,aiseeeeeee wabolaga gete ngosha
kuna watu wanatuita mazoba!!aaaaaaaaaaaaargggg,sio kwel we know how to handl en care a woman......nalemaga gete goyombwa sagala na bhanu bhadododoo.....kifupi tumekamilika mkubal mkatae hata pipe zetuu....wanajua dada zenu
Unapotaja Msukuma ni symbol ya ushamba. Mtu akikuambia wewe ni Msukuma maana yake ni wewe ni mshamba.
wasukuma tuko vzr mkuu true love iko full.Ila kuhusu ushamba inategemea na mazingira ya msukuma mwenyewe.ikumbukwe pia wasukuma wako zaidi ya milion6 so wingi wetu unatufanya tuonekane maeneo mengi nchini.Kadharika kishule tuko vzr vichwani na pesa twazisaka kwa njia halali.Wasukuma saaaaaaafi.
kuna watu wanatuita mazoba!!aaaaaaaaaaaaargggg,sio kwel we know how to handl en care a woman......nalemaga gete goyombwa sagala na bhanu bhadododoo.....kifupi tumekamilika mkubal mkatae hata pipe zetuu....wanajua dada zenu
Mmmm ya kweli haya mdau? basi ngoja nitafute msukuma..
Mshamba ni mtu wa namna gani?..
mshamba ni mshamba
Characteristics plz
Yaani ni kweli kabisa, mnajua kupenda, kucare, sio wakatili, pipes ziko mwaaa... ila mnachepukaje
¶¶¶Sisi ni mti wenye matunda, milele hatuogopi kupigwa mawe, ubaya wenu wengi kayumba mapenzi mnayafanya sandakarawe ¶¶¶¶
wanajua sema wanajitoa ufahamu......sisi kama MEssi ktk mapenz kila siku awards tu
msukuma...