Wanaume wa Kisukuma tunajua kupenda

Wanaume wa Kisukuma tunajua kupenda

Last emperor

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
10,346
Reaction score
9,889
Habari wanajamvi,

Nadhani sisi wanaume wa Kisukuma ndo tunaongoza kwa kupenda na kujali wanawake zetu. Hii inachagiwa hasa kwa kuwa asili ya Wasukuma ni wakarimu sana, wapole, wanyenyekevu, waungwana na tunaojua kupenda kwa dhati.

Nadhani hata kwa wale dada zetu ambao wamewahi kutoka na Wasukuma watakuwa mashahidi wa hili.
 
Tribalism eeeeeeeeeehh...! But thats de relief na wanaelewa how we do na wanatupenda kwa hilo..!
 
Wasukuma wengi ni kama mazoba, kwenye kupenda. Wanaendeshwa sana na wake zao.
 
Unapotaja Msukuma ni symbol ya ushamba. Mtu akikuambia wewe ni Msukuma maana yake ni wewe ni mshamba.
 
Dah MO11 unaua mkuu, ushamba tena hapana, ni kumistake upole na ukarimu kwa ushamba. Watu wanadhania ukatili ndo ujanja. Sisi tuna namna yetu ya kiasili ya kuwashugulikia watu wanaotufanyia ubaya
 
Last edited by a moderator:
wasukuma tuko vzr mkuu true love iko full.Ila kuhusu ushamba inategemea na mazingira ya msukuma mwenyewe.ikumbukwe pia wasukuma wako zaidi ya milion6 so wingi wetu unatufanya tuonekane maeneo mengi nchini.Kadharika kishule tuko vzr vichwani na pesa twazisaka kwa njia halali.Wasukuma saaaaaaafi.
 
Habari wanajamvi,

Nadhani sisi wanaume wa Kisukuma ndo tunaongoza kwa kupenda na kujali wanawake zetu. Hii inachagiwa hasa kwa kuwa asili ya Wasukuma ni wakarimu sana, wapole, wanyenyekevu, waungwana na tunaojua kupenda kwa dhati.

Nadhani hata kwa wale dada zetu ambao wamewahi kutoka na Wasukuma watakuwa mashahidi wa hili.
Mada hii imfikie Rafiki yangu Anaenijali KAUNGA.
 
Kaona kuna uzi wa wakurya yeye nae kaja hapa eti wasukuma wanajua kupenda.
 
nyie ni mazombie... yani mwanamke atakuendesheni kama bajaji vile, na mkiwa na wanawake weupe ndo hadi mshahara unaingia kwenye acc yake!!!!
 
kuna watu wanatuita mazoba!!aaaaaaaaaaaaargggg,sio kwel we know how to handl en care a woman......nalemaga gete goyombwa sagala na bhanu bhadododoo.....kifupi tumekamilika mkubal mkatae hata pipe zetuu....wanajua dada zenu
 
Wanaume wa Kisukuma hamna jipya, kwanza mna wivu na akili za kimila na desturi sijaafiki mada yako kwa asilimia 100% pia nina uzoefu.

Mara nyingi mnagegenda watoto wa ndugu/shemeji.............Kwa mfano kama me nina binti niliyekuwa naye katika mahusiano na kuachana naye na ww Last emperor ni mwanaume..........mfano ni ndugu yangu wa tumbo............unamtongoza huyo binti ili uwe naye katika mahusiano.....na anakubali...sasa hamuoni kuwa hii ni haileti picha nzuri katika jamii inayowazunguka tena inayojua kuwa Kaka yako alitembea na huyo binti?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom