Yaani nilitegeme Wapatikane wahusika, hili jiwe halijawapata wahusika
Bora nimeona...wanaume sisi miaka hii hata hizo nyumba ndogo tumeona tuachane nazo, badala yake uende zako kwa wamama smart sana wanaojiuza. Wanajua mipango hawatakuuliza chochote...
Tatizo limeingiliana na mzee magu kukaza, so hata kodi za vyumba na kuhonga imekuwa ngumu. Lkini umama umekuwa mwingi sana.
Mkoa wa jirani nilipata kidumu changu dogo wa bodaboda akatibua, yanai nilishangaa huduma zinayumba..nikaona hapa pamepatwa, nilizoea kila nikirudi ofsini napitia nakutana na udi wa zanz, wali mkavu wa nazi na samaki nazi nakula kiasi sishibi sana, naingia ulingoni nakula kwa kuliwa..heee baadae naona sioni hizi mambo, umbea kuingiliana..
Na mleta uzi umesahau kuvamiana vamiana himaya za watu..siku hizi mwanamke anakuzalia mtoto usijue, wako au sio, mwanamke hatulii