Wanaume wa kisasa wana umama kidogo

Wanaume wa kisasa wana umama kidogo

Someni makala muielewe. Jamaa yuko sahihi na amesema wanaume wengi ila sio wote. Ukijua nyumba ndogo sio kitu rasmi hutapenda ijulikane ila vijana wa siku hizi wanaona fahari na kuiweka public.
Hao ndiyo umama umewajaa!
 
Ni ukweli usiopingika wanaume wa siku hizi sio tu mna umama ila mna Tabia za kike
1.mnapenda umbea na kuzogoa (majibu ya hovyo hovyo
2.Hamna vifua (hamuwezi kuficha mambo) mmekua vilopo lopo hasa wanaume wa JF
3.Mmekua ni waoga,hamjiamini na hamna misimamo,mmekua watu wa kuyumbishwa
Yapo mengi ila hayo yanawapa hadhi ya umama
 
Back
Top Bottom