Wanaume wa kisasa wana umama kidogo

Wanaume wa kisasa wana umama kidogo

Mie naamini sio 'Mwanaume wa Siku hizi'
Kama Baba yako alikuwa akirudi Jion anaangalia kipindi cha 'Jiji letu' ITV Kama nilivosoma kwny hiyo Makala nadhan itakuwa Makala inahusu Wavulana sio Wanaume
Umekurupuka Blaza. Soma tena makala. Sio lazima jiji letu sisi wa zamani wengine tulikua hatuna televisheni.
 
Someni makala muielewe. Jamaa yuko sahihi na amesema wanaume wengi ila sio wote. Ukijua nyumba ndogo sio kitu rasmi hutapenda ijulikane ila vijana wa siku hizi wanaona fahari na kuiweka public.
 
Vijana siku hizi mmna mambo ya kimama kabisa ndo maana wengi wenu mnawaza Tigo tu!! Wengi wenu ni mashoga yoote hayo yanatokana na Umama wenu...
Mnaoa hamjui maana ya ndoa...Ukioa umeoa heshimu ndoa...ukiwa na kimada basi hiyo ni kazi yako kukiweka sawa. Sio mnaleta dharaaau
Siku hizi hata nguvu hamna mnapungukiwa kila siku mnakula vyakula vya kike kwa nn msipungukiwe....ndo maana Wamama mnoo. Chips na kuku wagonjwa. Bado mnakataa kuitwa wamama. Zamani kulikua hakuna mwanaume mwenye uume mdogo...ila siku hizi weeengi mmna vidude tu na matumbo makubwaaa...unakuta kijana kanyoa denge na mandevu kanyoa O Kubwaa na tumbo kubwa ana miaka 22, kama sio mama ninini?
Msikatae Wengi vijana wa kisasa wana Umama!
 
Mawazo yangu yameenda mbali sana aiseeeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ebu ngoja nikae kimya kabla sija shambuliwa na wanaume wa DSM
hahah ushirombo meen... ntapita hapo na kitu kinaitwa otta high classic tunywe bia kidogo..
 
Someni makala muielewe. Jamaa yuko sahihi na amesema wanaume wengi ila sio wote. Ukijua nyumba ndogo sio kitu rasmi hutapenda ijulikane ila vijana wa siku hizi wanaona fahari na kuiweka public.
Bora unisaidie....
 
Hiyo nikwenu nyie wa sasa,Sisi wazamani jando lakweli lilitusaidia kuwa jasiri na uwezo wa kutunza siri(kiwa na subra)
 
yaani huyo alieandika hiyo mada hapo kumbafu kabisa 😵 😎 ngoa babu asprin atuambie alikua anafanyaje yeye.... huyu kijana kumbafu sana
 
Vijana siku hizi mmna mambo ya kimama kabisa ndo maana wengi wenu mnawaza Tigo tu!! Wengi wenu ni mashoga yoote hayo yanatokana na Umama wenu...
Mnaoa hamjui maana ya ndoa...Ukioa umeoa heshimu ndoa...ukiwa na kimada basi hiyo ni kazi yako kukiweka sawa. Sio mnaleta dharaaau
Siku hizi hata nguvu hamna mnapungukiwa kila siku mnakula vyakula vya kike kwa nn msipungukiwe....ndo maana Wamama mnoo. Chips na kuku wagonjwa. Bado mnakataa kuitwa wamama. Zamani kulikua hakuna mwanaume mwenye uume mdogo...ila siku hizi weeengi mmna vidude tu na matumbo makubwaaa...unakuta kijana kanyoa denge na mandevu kanyoa O Kubwaa na tumbo kubwa ana miaka 22, kama sio mama ninini?
Msikatae Wengi vijana wa kisasa wana Umama!
Sawa kabisa mkuu...tatizo letu tunakuwa wajuaji pindi tukielezwa ukweli...huu pia ni umama
 
hahah ushirombo meen... ntapita hapo na kitu kinaitwa otta high classic tunywe bia kidogo..
Ebu kabla ya kufika kule, naomba uni pm maana nimekua mzee wa safari kwa wingi karibu kila wiki... Hahaaahaaaaaa......[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Mawazo yangu yameenda mbali sana aiseeeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ebu ngoja nikae kimya kabla sija shambuliwa na wanaume wa DSM
Unataka kuliamsha dude..
Naliamsha dudeee in weusi voice
 
Mbona kama mmepanick hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume???
 
Mbona kama mmepanick hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume???
 
Back
Top Bottom