Wanaume wa kiMassai. . .

BT kama ulikuwepo vile. . .
Alafu bado utakuta nao wanajiita kichwa cha familia, wakati utendaji wao sawa na wa mkia!!!
Lizzy this is insult, sijajuwa bado mnawaongelea watu wa vijijini au lah, wengine sisi kazi ngumu kwetu ni kushika glass ya Wisky tu, huyo unayemsapoti asifananishe kabila lingine na Wazaramo ambao vijijini kwao Wanaume asubuhi wanaamkia kwenye vijiwe vya kahawa na kucheza bao siku nzima.

Mkitaka kuyaongea kijumla jumla tu na kutukosea adabu basi hata hapa mjini kuna Wanawake the whole wiki ni ratiba za kwenda ngomani/kitchen party/begi party/ mara rafiki yangu amefiwa na shangazi yake na shemeji yake, mara kuna sare za shughuli ya shughuli ya binti wa mjukuu wa mzee Kundugeni n:k. na ikumbukwe hapa Mwanaume ndiye anaecover all expenses, bado wauza uzuri hawajapita ni mikapu yao iliyojaa micheni ya bati na rangi ya dhahabu na mafuta ya kusafishia bunduki, hapo usipokuwa makini Watoto wako ni lazima wawe na utapiamlo maana bajeti ya chakula unayoacha nyumbani inamegwa kugharamia ujinga huu.

Hapa kikubwa nimejaribu kuweka sawa kwamba Mwanaume ni Mwanaume na weakness za baadhi ya watu na makabila yao hizo ni zao na haziwezi kuleta conclusion ya jumla jumla, huu mfumo jike mnaoupigia debe haukubaliki kamwe maana ni kuhoji uumbaji wa mungu kwamba mmoja atakojoa kwa kuchuchumaa na mwingine atakojoa kwa kusimama.
 
Lizzy kwani wale wanawake wanaokwenda sokoni mijini huku waume wao wakishindia kwa mama ntilie mchana na jioni kupitia moja moto moja baridi na kurudi nyumbani kwa chakula cha usiku nao wanakosa sifa ya ujanadume?
Hao aisee. . . niseme tu SIWAHESHIMU.

Lizzy this is insult, sijajuwa bado mnawaongelea watu wa vijijini au lah, wengine sisi kazi ngumu kwetu ni kushika glass ya Wisky tu, huyo unayemsapoti asifananishe kabila lingine na Wazaramo ambao vijijini kwao Wanaume asubuhi wanaamkia kwenye vijiwe vya kahawa na kucheza bao siku nzima.

Mkitaka kuyaongea kijumla jumla tu na kutukosea adabu basi hata hapa mjini kuna Wanawake the whole wiki ni ratiba za kwenda ngomani/kitchen party/begi party/ mara rafiki yangu amefiwa na shangazi yake na shemeji yake, mara kuna sare za shughuli ya shughuli ya binti wa mjukuu wa mzee Kundugeni n:k. na ikumbukwe hapa Mwanaume ndiye anaecover all expenses, bado wauza uzuri hawajapita ni mikapu yao iliyojaa micheni ya bati na rangi ya dhahabu na mafuta ya kusafishia bunduki, hapo usipokuwa makini Watoto wako ni lazima wawe na utapiamlo maana bajeti ya chakula unayoacha nyumbani inamegwa kugharamia ujinga huu.

Hapa kikubwa nimejaribu kuweka sawa kwamba Mwanaume ni Mwanaume na weakness za baadhi ya watu na makabila yao hizo ni zao na haziwezi kuleta conclusion ya jumla jumla, huu mfumo jike mnaoupigia debe haukubaliki kamwe maana ni kuhoji uumbaji wa mungu kwamba mmoja atakojoa kwa kuchuchumaa na mwingine atakojoa kwa kusimama.

Matola Kwasababu hamna niliposema wote sioni sababu ya wewe kuwa insulted. . .unless na wewe ndio zako.

Hayo ya wake zenu mnayaendekeza wenyewe kwahiyo hata msilalamike. Kwani mkiwanyima pesa za kwenda kuchangia kwenye hayo masherehe na kununua dhahabu feki wataiba?
 
Last edited by a moderator:
Hao aisee. . . niseme tu SIWAHESHIMU.



Matola Kwasababu hamna niliposema wote sioni sababu ya wewe kuwa insulted. . .unless na wewe ndio zako.

Hayo ya wake zenu mnayaendekeza wenyewe kwahiyo hata msilalamike. Kwani mkiwanyima pesa za kwenda kuchangia kwenye hayo masherehe na kununua dhahabu feki wataiba?
Wana option ya Mafiga matatu. unayajuwa weye haya? siongelei yale ya JK.
 
Wana option ya Mafiga matatu. unayajuwa weye haya? siongelei yale ya JK.

Sindo aina ya wanawake mnaochagua. . .nani alaumiwe?

Ukichagua kuoa shangingi tegemea maisha ya kishangingi na wala usilalamike.
 
Sindo aina ya wanawake mnaochagua. . .nani alaumiwe?

Ukichagua kuoa shangingi tegemea maisha ya kishangingi na wala usilalamike.
Kwanza usiendelee kuniudhi kuna pm yangu ina wiki kujibu ujaijibu au kuna flood of pm kwenye inbox yako?
 
mmasai+na+kitu.jpg

This is a good protait of the fact that Masai men are really men...au analelewa na muthungu?
 
Nakubaliana na ukweli kwamba kila kabila lilikuwa na mila zake na mgawanyo wa kazi kadri ya kabila hilo lilivyokuwa.Sisi tusio na mila inakuwaje? Mke analala tu na kusogoa anategemea mme ndo azalishe na kumsaidia?
 
Kwanza usiendelee kuniudhi kuna pm yangu ina wiki kujibu ujaijibu au kuna flood of pm kwenye inbox yako?
Kwanza tumalizane na hili, we ukichagua shangingi unakuwa unategemea nini kama sio kumalizia pesa ya matumizi kwenye wax na dhahabu za kuchovya?

Hahahahha alafu we siunaona niko uMassaini bana. . PM huku hazikamati kabisa.
 
Nakubaliana na ukweli kwamba kila kabila lilikuwa na mila zake na mgawanyo wa kazi kadri ya kabila hilo lilivyokuwa.Sisi tusio na mila inakuwaje? Mke analala tu na kusogoa anategemea mme ndo azalishe na kumsaidia?

Ndahani hapo sasa ndipo utaratibu wa kifamilia unapokuja. Kwani kukiwa hamna mila inayosema mama afanye hivi na baba vile ndio muishi maisha ya ilimradi? Kaeni chini mtengeneze utaratibu wenu binafsi.
 
Last edited by a moderator:
Ndahani hapo sasa ndipo utaratibu wa kifamilia unapokuja. Kwani kukiwa hamna mila inayosema mama afanye hivi na baba vile ndio muishi maisha ya ilimradi? Kaeni chini mtengeneze utaratibu wenu binafsi.

Lizzy,utaratibu wa zamani ulikuwa unakubalika sababu ilikuwa ukimuudhi baba anawachapa wote fimbo. Na nyinyi wa Dot Com mnakubaliana na agenda hiyo? You are more empowered than our mothers back then...na mkiamua mnaweza...na mkiwezeshwa pia mnaweza...ila mkiamua pia mnaweza kabisa kuwa watazamaji na kusukuma kina baba kufanya kila no matter how many meetings people do.
 
Lizzy,utaratibu wa zamani ulikuwa unakubalika sababu ilikuwa ukimuudhi baba anawachapa wote fimbo. Na nyinyi wa Dot Com mnakubaliana na agenda hiyo? You are more empowered than our mothers back then...na mkiamua mnaweza...na mkiwezeshwa pia mnaweza...ila mkiamua pia mnaweza kabisa kuwa watazamaji na kusukuma kina baba kufanya kila no matter how many meetings people do.
Hhahaaa. . .
I can not imagine baba anachapa mama na watoto pamoja!!

Siku hizi mnaongea tu bana, mnapanga taratibu za nyumbani kwenu bila kujali kama zinafanana na za wengine au la. Na mnaishi kwa kuzifuata hizo.
 
Lizzy.........it is just divison of labour........................kazi ya kukuzalisha unafikiria ni mchezo? Mwanaumme hutumia nguvu nyingi sana na ukimfanyisha hayo makazi jiandae kuwa mjane baada ya miaka michache hivi. Ukitaka kujua undani wa mgawanyo wa madaraka angalia kundi la simba................Jike ndiye anayewinda na kulisha familia...kidume yeye ni kusubiria mawindo yakija kuwa wa kwanza kula na kujilalia ........jukumu lake ni ulinzi na kumzalisha mama mwenye nyumba...............hizo kazi siyo utani hasa hiyo ya kumpanda mama mwenye nyumba.....................learn from these animals and you will be wise.........
 
Lizzy.........it is just divison of labour........................kazi ya kukuzalisha unafikiria ni mchezo? Mwanaumme hutumia nguvu nyingi sana na ukimfanyisha hayo makazi jiandae kuwa mjane baada ya miaka michache hivi. Ukitaka kujua undani wa mgawanyo wa madaraka angalia kundi la simba................Jike ndiye anayewinda na kulisha familia...kidume yeye ni kusubiria mawindo yakija kuwa wa kwanza kula na kujilalia ........jukumu lake ni ulinzi na kumzalisha mama mwenye nyumba...............hizo kazi siyo utani hasa hiyo ya kumpanda mama mwenye nyumba.....................learn from these animals and you will be wise.........

Jifunzeni kwao na muishi kama wao. No wonder wengine wanaua watoto wao ili ndoa iwepo kama wafanyavyo hao simba.
 
Lizzy.........it is just divison of labour........................kazi ya kukuzalisha unafikiria ni mchezo? Mwanaumme hutumia nguvu nyingi sana na ukimfanyisha hayo makazi jiandae kuwa mjane baada ya miaka michache hivi. Ukitaka kujua undani wa mgawanyo wa madaraka angalia kundi la simba................Jike ndiye anayewinda na kulisha familia...kidume yeye ni kusubiria mawindo yakija kuwa wa kwanza kula na kujilalia ........jukumu lake ni ulinzi na kumzalisha mama mwenye nyumba...............hizo kazi siyo utani hasa hiyo ya kumpanda mama mwenye nyumba.....................learn from these animals and you will be wise.........

Sasa Mkuu Ruta, Maisha ya simba yanawezakuwa benchmark ya maisha ya mwanadamu? Labda kama kwa kukaa kwao porini wameamua kuwa kama simba. Pamoja na mwanaume kuwa kichwa, ukiwa umekaa na wenzetu hawa utagundua mwanamke si mtu bali property! Huwezi ukajisifu ati unazalisha. Zipo jamii nyingne mwanaume anazalisha na bado anafanya kazi. Hivi kuweka mbegu zako in less than twenty minutes and carrying them untill the baby is realised ipi kazi? We ought to be objective and realistic
 
lizzy,
usiniambie uko vijijini ndio shughuli yao kuhudumiwa tuu dah!
basi wakija dar wanacope enh kidogo, me love them bana, wana weusi mzuri, wamepanda, those waliokwenda shule wako na brain then wanajituma haooo dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom