Wanaume wa kiMassai. . .

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,799
59,264
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.

Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.

Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.

Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
Pili chakula anatafuta mama.
Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.

Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
Kukamua wao. . .
Kupika wao. . .
Malezi wao. . .
Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.

Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?
 
lizzy,
mijanaume ....oopphs sorry
wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
alime, apike, alee
yaani taabu tupu....

usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba............................



 
hili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..
 
hili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..

Nimeona mwenyewe maana niko katikati yao. Wewe kama unaona niliyoona sijayaona vizuri basi jaribu kunipa picha tofauti.
 
lizzy,
mijanaume ....oopphs sorry
wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
alime, apike, alee
yaani taabu tupu....

usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba............................




BT kama ulikuwepo vile. . .
Alafu bado utakuta nao wanajiita kichwa cha familia, wakati utendaji wao sawa na wa mkia!!!
 
Lizzy hii sikuwahi kuijua wala kuifikiria ingawa nilikuwa ninaona maisha ya aina hii ndani ya jamii hii ya kimasai. Ila kama ni mila zao sidhani kama ni kitu cha ajabu pengine ni kutaka kugeneralize maisha yawe mamoja. hahah yaani tutake atakavyoishi John Mkilanga ndivyo anavyotakiwa kuishi Laizer Alaileyoo huko Mang'ati!

By the way ninasikia kuwa hawa wanajua kupenda teh teh teh
 
Masai ni jamii ya binadamu lakini siyo watu
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.

Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.

Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.

Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
Pili chakula anatafuta mama.
Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.

Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
Kukamua wao. . .
Kupika wao. . .
Malezi wao. . .
Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.

Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?
 
lizzy,
mijanaume ....oopphs sorry
wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
alime, apike, alee
yaani taabu tupu....

usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba............................



na bado akirudi kutoka kilabu usiku, anataka mchezo, tena game heavy! tufiakwa, najitemea mate kifuani, its beter to stay single!
 
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.

Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.

Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.

Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
Pili chakula anatafuta mama.
Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.

Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
Kukamua wao. . .
Kupika wao. . .
Malezi wao. . .
Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.

Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?
..aisee hii..ni Documentary tosha...umenipa idea . Lizzy
 
Last edited by a moderator:
Miaka 100 iliyopita hata Ulaya walikuwa hivi hivi ndio dunia ya zamani ilivyokuwa. Hapa Pemba wanaume wanalazimisha wake zao wajamiiane na Muarabu ili azaliwe mtoto mweupe, walio weusi wanajutia kwa nini bibi zao nao hawajabakwa na Waarab enzi hizo, Mashehe usiku kucha na ngazi kupiga chabo
 
Nitarudi kutofautiana na Lizzy kwa asilimia fulani.
Nitafanya comparison na wasukuma, yote yakiwa makabila ya wafugaji japo wasukuma na ukulima upo.

Kwa kifupi, wanamme haswa!

Nimerudi Lizzy kama nilivyokuahidi.

Kwanza kabisa kila jamii ina mgawanyo wake wa kazi kulingana na mahitaji yake na kazi hizo zimegawanyika kulingana na vipaumbele.
Sijakaa umasaini lakini kwa mtizamo wa kifugaji na ukizingatia kwamba wamasai kwa asili ni wafugaji tu kwwa hiyo kwao mifugo ndio ilikuwa 'resource' kubwa ya familia.

Na nikiangalia jiografia ya maeneo ambayo wamasai wanaishi ni maeneo yaliyo karibu na mbuga za wanyama. Nikizidi kuaangalia ufugaji wa kimasai ni ule wa kuhama hama na si wa kutulia eneo moja ili kutafuta malisho na maji kutokana na wingi wa mifugo waliokuwa nayo.

Basi kulingana na sababu hizo hapo juu jukumu kbwa la mwanamme wa kimasai ilikuwa ni kulinda mifugo kati ya wanyama wakali pamoja na kuwinda, nadhani ndio maana wao wana courage hata ya kupambana na simba. Kwa hiyo majukumu mabayo kwao yalionekana marahisi kama kusaga, pika, jenga nyumba waliachiwa wanawake.

Nikiwalinganisha na wasukuma kidogo kuna utofauti sababu hawa ni wafugaji na wakulima.
Nadhani ndio maana wao wana makazi ya kudumu, na kwa kuangalia jiografia hawako mbugani kwa hiyo nguvu iliyo kwenye ulinzi ni ya wastani.

Hii imefanya kazi za kuchunga, kujenga nyumba(permanent) ni za wanamme. Kilimo ni 50/50 japo napo kuna mazao ambayo ni jukumu la baba(nafaka na pamba) na ambayo ni jukumu la mama(viazi na mboga) japo wanafanya kazi kwa pamoja

Wasukuma hao hao, walio mpakani na wamasai na wakurya mara nyingi walikuwa wanajikuta wanapigania mifugo, katika maeneo hayo (nadhani maeneo ya Bariadi) utakuta jukumu la kuchunga ni la na kukamua waliachiwa akina mama. Hii nadhani ilitokana na wanamme hao hao wa kisukuma kugawa nguvu zao zingine katika ulinzi wa mifugo uliotokana na wizi wa wakurya na wamasai.

Kwa hiyo kwa wanawake wa kimasai kufanya kazi hizo sioni kama wanamme wao si wanamme sababu kwao kipaumbele kilikuwa kwenye ulinzi.

Nikupe tu mfano: Maeneo ya pwani kuchinja kitu chochote si kazi ya mwanamke hata kuku, wakati kwa wasukuma kuku anachinjwa na watoto wa kiume au mwanamke anayepika sababu kuku hakuwa kupaumbele naye kuwa ni mnyama wa kushughulikiwa na mwanamme mkubwa. (warining: ukija kwangu ukala kuku jua nimenchinja mwenyewe)
 
Last edited by a moderator:
Wamasai wamegawa majukumu kwa kila mtu wa jamii zao,hivyo kuona shughuli za mwanamke ni nyingi sio kweli kwani Mwanaume wa kimasai kwa shughuli ya uchungaji wa wanyama ni ngumu kweli kweli sababu huko porini mara wakutane na wanyama hatari.
Hivyo usidharau mila na utamaduni kwa niwatu wazima walio anzisha Mila hizi.
 
mmasai+na+kitu.jpg
 
Lizzy hii sikuwahi kuijua wala kuifikiria ingawa nilikuwa ninaona maisha ya aina hii ndani ya jamii hii ya kimasai. Ila kama ni mila zao sidhani kama ni kitu cha ajabu pengine ni kutaka kugeneralize maisha yawe mamoja. hahah yaani tutake atakavyoishi John Mkilanga ndivyo anavyotakiwa kuishi Laizer Alaileyoo huko Mang'ati!

By the way ninasikia kuwa hawa wanajua kupenda teh teh teh
Hhhmmm. . .kama kupenda kwenyewe ndo huko kwakufanyishana kazi kama punda I think i'll pass.
 
Nitarudi kutofautiana na Lizzy kwa asilimia fulani.
Nitafanya comparison na wasukuma, yote yakiwa makabila ya wafugaji japo wasukuma na ukulima upo.

Kwa kifupi, wanamme haswa!
We Kongosho juzi tena ulisema utarudi sikukuona.

Pharaoh . . .duh. . .kweli kazi wanayo.


Wamasai wamegawa majukumu kwa kila mtu wa jamii zao,hivyo kuona shughuli za mwanamke ni nyingi sio kweli kwani Mwanaume wa kimasai kwa shughuli ya uchungaji wa wanyama ni ngumu kweli kweli sababu huko porini mara wakutane na wanyama hatari.
Hivyo usidharau mila na utamaduni kwa niwatu wazima walio anzisha Mila hizi.
Pori gani wakati wanachunga mi nawaona? Kungekuwa na wanyama wakali hapa karibu hata mimi ningekua hatarini. Kwenye wanyama ni hukoo mashambani, sehemu ambayo hawawezi kuchunga maana wanyama wataharibu mazao ya watu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom