Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,891
Hakuna mtu singleDah huu mda ndo maisha hua magumu unalala mwenyewe🤔🤔🤔ila ningekua na mke namla nkimaliza naweka Mkono kwenye mb u sus nalala 🤣
Swali zuri dada lakini utaratibu wa kuvalishana Pete za ndoa sio katika utaratibu wa dini ya kiislamu hauhusiani hata kidogo nahisi ni utamaduni wa wazungu sidhani hata kwenye biblia ukristo unaelekeza hivyoNina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Duuh kwanini unaanza na tusi na mtu kauliza swali Kwa ustaarabu ili afahamu ??Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Hakuna utamaduni wa kuvaa Pete kwa ajili ya ndoa kwa Waislam, si mwanamme si mwanamke, haziwahusu.Nina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Mambo ya pete kwetu hayapo.Pete haina upendo,haitii uja uzito wala haizalishi mtoto.Pete ni wewe mwenyewe.Ni 'show off' tu na kujisifu kuwa umeoa au umeolewa.Isitoshe pete ni ushirikina tu.Hatuabudu pete katika ndoa.Moyo na mapenzi ya dhati ndiyo pete.Nina swali jaman et wanaume wa kiislamu wanafunga ndoa na wanawake wanne kwaiyo anavaa Pete zote nne au kila akioa nyingine anatoa???
FaizaFoxy
Sorry, huna akili.Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.
Sorry, huna akili.
Ni hayo tu kwa sasa
Duuh kwanini unaanza na tusi na mtu kauliza swali Kwa ustaarabu ili afahamu ??
Tusi ni neno gani hapo?Wacha kujikomba .Duuh kwanini unaanza na tusi na mtu kauliza swali Kwa ustaarabu ili afahamu ??
Wewe ndo umeonyesha ujinga wako. Mtoa uzi kauliza swali afahamishwe wewe unaleta taarab.Wewe mjinga nani alikuambia wanaume wa kiislamu wanavaa Pete kuashiria kwamba wameoa?Ujahili ni wa kiwango cha juu sana kwenye hii Forum.