Wanaume wa kichaga

Wewe nawe ni kahaba kama walivyo makahaba wa siza mori, ni kwanini usubiri akumalizie nyumba yako ndio umuache.
Endelea kuiumiza k yako kwa sababu akili hauna
Vipi ushafika hapo sinza kuuza au bado unajipodoa?

BTW hajachangia hata tofali kwenye ujenzi wa nyumba yangu.
 
Mbona hajasema Kama anajengewa?
Wamejipanikisha tu, sikuwahi kumwomba pesa tangu nimeanza nae mahusiano. Nyumba ninayojenga hajawahi kuchangia hata msumari. Sikutaka tu kumhusisha maana nilijua kabisa sina future nae hivyo sikutaka kujiongezea dhambi.
 
Dah!
 
Sasa si ungesema kama ndio sababu inayokufanya uone hafai kukuoa. Kwanini uliacha kulisema hili sikuile
 
Itakuwa wanaume wa pwani waliwahi kumchukulia mwanamke, ana hasira nao sana.
Upo uzi humu ulikuwa unawazungumzia wanaume wa pwani. Sifa zetu tupewe jamani, wanawake wanahitaji kubembelezwa na kuenziwa. Mwanamke ni mtu muhimu sana kwa ustawi Bora wa mwanamme.

Ili waweze kutustawisha ilivyo sawa basi inabidi tujue namna njema ya kuwa-handle pia.

Acha nisiseme mengi
 
Msamehe tu mkuu, sijui amevurugwa na nini. Itakuwa ni wale wachaga wasio jua mapenzi na pesa pia hawana. Hivyo anaumia kukosa vyote.
Wanaume wa Pwani ni watu wema kabisa, hawana shida na mtu. Kwanamna ulivyomjibu unathibitisha hilo.
Ki ukweli mshkaji amezingua ila yote sawa tu .

Naamini atapata salaam zetu
 
BIBIE LEO UNALO TUNAKUSHUKIA JUMLA JUMLA UMETOCHOKONOA SASA TUNAKUJA FULL MBATA ETI JAMAA KAPOOZA SASA KAMA UNA K KAMA MSASA JAMAA ANAUGULIA MAUMIVU
 
yaani hajachanga mka kivipi? ukute jamaa ni gentlemen na nice guy wanawake huwa hawawapendi wanaume wa namna hii...njia ya nzuri ya kuwa na mwanamke act, be rough, **** her good, give her money she will be your slave
Wana tabu sana wanawake wa kiafrika. Mwanamke anapopendwa haoni huwa anapenda anapoteswa teswa hivi. Yani mwanaume awe na mapozi pozi hivi ndio mwanamke hapindui hapo.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…