Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Mtoa mada lalalaleq kudadeq basi tuu
Usije rudia kuandika urojo wako hapa na porojo zako hapa.
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
ULIBET OV 2.5 UKAKUTANAAA NÀ UND 2.5
JARIBU WAMARANGU HT.FT UONE MOTO WAOOOO WALE WAPENZI.WA ..MNAELEWAA...UNA 500 UNATAKA UWIN LAK..WEKA LAKI KWENYE 5 ODDS UONE MOTOWAKE KESHO YAKE UNAHAMIA MARANGU
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Ukionaa wakina kokuuuu wanahamiaaaa uchaganiii kaulizee VIZURI.. HAWA mashemeji zanguuu SHIDA n moja zamani WANAWAKE mliwatumia kama mtaji sikuhizi wameshtuka nà wakikuhisi wakoo na mteja WA TALA chumbani hiooonaniii itaozaaa bilakuguswaaa wanguuu

Najuaa utakisema ukwelii jamaaaa ameiipotezea mbunye yakoo ilà julize SHIDA niniihaswa MBONA HUKO nyuma awakuwa hiviiiii

Mpare MMOJA jiraniyangu anagongwa na drev WA bodabodaaa SIKUMOJA tumelewa AKASEMA mumewee yaani nowadays akiingiza asikiihamu

Nkamwambià mwanamke ikishatumika sana ama kupitiwa na WATOTO kadhaa inatanuka mbo....yamwanauime aitanukiii uwezi KUPATA hamu SAWA yakooo inakuwa KUBWA MILELE ...doh akaagiza dompoyanguu akaaga najuaa kafurahia somoo iseee lah....kumbekakasirika NAONA mhudumu ananifwata 15 ya DOMPO naombaaa aisee tokasikuhioo nkaacha kunywa na majiraniiiiiii

Tunayooooo DAWA inatwaaaa Pemamtukuzee
HII unanawaaaaa na majimoto. SEHEMU za siri...25alfu pamoja na kodi...

Wikimbili tu kama mzeee amekutanaaa na mapelea ashazoeaa analazimisha kuingia now bwaaa hiooiko ndani

wallahi wikimbili tu UNARUDI mnatooo ongea na watu upate VITU
 
Utafiti sio wa watu wawili tu na kutoa uamuzi, sio wote ila endelea kufanya utafiti na utatambua hao wanaume sio mchezo, hata uingie mvunguni wako, hawakuachii pumzi!
 
Huyu mleta mada is totally bitch yupo kwa jamaa kwa sababu the man is rich... she said she know how to find money leave him and finish ya house alone ya crap of shiiit... ya gold digger..
 
Sijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.
Imeisha iyoooo dingi
 
Vivulana vya kichaga hiyo mipovuuuuu

Kuigilizia kwa wazaramo si mbaya wadogo zangu
 
Ukionaa wakina kokuuuu wanahamiaaaa uchaganiii kaulizee VIZURI.. HAWA mashemeji zanguuu SHIDA n moja zamani WANAWAKE mliwatumia kama mtaji sikuhizi wameshtuka nà wakikuhisi wakoo na mteja WA TALA chumbani hiooonaniii itaozaaa bilakuguswaaa wanguuu

Najuaa utakisema ukwelii jamaaaa ameiipotezea mbunye yakoo ilà julize SHIDA niniihaswa MBONA HUKO nyuma awakuwa hiviiiii

Mpare MMOJA jiraniyangu anagongwa na drev WA bodabodaaa SIKUMOJA tumelewa AKASEMA mumewee yaani nowadays akiingiza asikiihamu

Nkamwambià mwanamke ikishatumika sana ama kupitiwa na WATOTO kadhaa inatanuka mbo....yamwanauime aitanukiii uwezi KUPATA hamu SAWA yakooo inakuwa KUBWA MILELE ...doh akaagiza dompoyanguu akaaga najuaa kafurahia somoo iseee lah....kumbekakasirika NAONA mhudumu ananifwata 15 ya DOMPO naombaaa aisee tokasikuhioo nkaacha kunywa na majiraniiiiiii

Tunayooooo DAWA inatwaaaa Pemamtukuzee
HII unanawaaaaa na majimoto. SEHEMU za siri...25alfu pamoja na kodi...

Wikimbili tu kama mzeee amekutanaaa na mapelea ashazoeaa analazimisha kuingia now bwaaa hiooiko ndani

wallahi wikimbili tu UNARUDI mnatooo ongea na watu upate VITU
Jifunze kuandika kiswahili kinachoeleweka
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Utakua bado unavinasaba vya balehe
 
Utafiti sio wa watu wawili tu na kutoa uamuzi, sio wote ila endelea kufanya utafiti na utatambua hao wanaume sio mchezo, hata uingie mvunguni wako, hawakuachii pumzi!
Jamani si atajaza tren
 
Kaa naye maadam yupo na wewe. Pembeni tafuta mwanaume wa pwani atakupa mahaba si haba
 
Sijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.
Meku umemaliza kabisa bwashee
 
Ukiona mchaga yupo romantic ujue kupata kwake pesa itakua ndoto , pesa nyingi haziitaji ushamba wa kupoteza mda kwenye mapenzi , kukimbizana na mapenzi kuna kula sana pesa bila kuingiza chochote ,pia na mda wako ,ingekua mimi ni huyo jamaa yako ningekuomba utafute tu atakae kuchangamsha ili nipate mda wakufikiria mambo yngu.
 
Back
Top Bottom