Wewe si ndiye unayelalamika,muache basi kwanini unamng'ang'ania huku unamsema pembeni?? Eti mpaka umalize ujenzi,wakati hatoi hata senti ya ujenzi....unasubiri nini sasa??
Umeona enhe..! Anaonekana kabisa!Fix hizo, mabaharia tushaelewa kali!
Ha ha ha eti Vishoia..Sijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.
KahabaVipi ushafika hapo sinza kuuza au bado unajipodoa?
BTW hajachangia hata tofali kwenye ujenzi wa nyumba yangu.
Vipi huko facebook ushauza sana eeh hadi unalijua soko lake? Naona sasa umeamua kuuza jf, kwa majibu yako ya kichoko najua tu utajibu nini.Halafu majibu yenyewe ya kitoto sana, kwa umri wako ungetafuta tu mwanaume wa kukuoa, si kutafuta soko kama hivi mtandaoni tena JF bora ungeenda huko facebook.
Kwa majibu yako ya kitoto, najua jinsi utakavyojibu
Yeah ova ka umenisoma.If you read btn the lines ungeelewa tu kuwa ndilo tatizo.
Huyu kama ana mchepuko basi kazi ipo, natamani hata nimjue ili nipatiepo sababu.Embu muulize mchepuko wake ni nini hufanya ku-spice mambo na meku wako.
Naonaga wanasema laiti Simba nae angeongea hizi simulizi za wawindaji mahiri zingehaririwa upya.
Kasema nyumba yake, kwani ni lazima awe anajengewa yeye hana huo uwezo?Nasubiri nimalize nyumba yangu ndio nimuache. Ebu jiongeze na wewe
Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali
Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni
Hug za nguvu unapopata nafasi
Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao
Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi
Love languages muhimu sana
Nb; Tanzania ya viwanda
Well viwanda tunajenga na mapenzi yanachukua nafasi yake.Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali
Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni
Hug za nguvu unapopata nafasi
Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao
Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi
Love languages muhimu sana
Nb; Tanzania ya viwanda
Khaa mabanzi tena, hapo utaharibu babe. Nashindwa kumuelezeaMie sitakunyima mabanz ukizingua[emoji2956][emoji2956][emoji2956] nadhan tutaenda sawa. Mwanaume mpole ni yupi kwenu?
Wako brain washed hao, wanafikiri kila mwanamke lazima afanyiwe kila kitu na mwanaume. Nyumba kitu gani mbona mambo madogo tu hayo. Kama wao wanaweza why sisi tusiweze?Kasema nyumba yake, kwani ni lazima awe anajengewa yeye hana huo uwezo?