Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Hebu tujielekeze kwa hili la wanaume kuuza utu...
Ujinga wa wanawake hauwezi kuhalalisha ujinga wa wanaume...
Sisi ni vichwa mkuu!
Wala msijifariji, siku hizi wengi wenu mmekuwa bendera fata upepo, yaani hasara tupu!!