jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
- Thread starter
- #21
nenda mitaa ya sleepway uone dada zetu walivo na vibabu tena bila hata aibu..............YOTE NJAA TU.
Sasa kwani sisi ni sawa na dada zetu?
Posta (dar), Moshi hata Atown kuna vijana kibao wana ndoto za "kuolewa" na demu wa kizungu