Penzi pesa na nyumba ya fahari.huna hivyo usijiite mume Jiite deadbeatKwa hiyo wewe thamani yako ni nyumba na fedha.. Are you cheap to that extent? mi nilidhani usawa mnaoutafuta ni kila kona hii sasa imekaaje? mm hakuna bidhaa ya kunilinganisha nayo hapa duniani! kumbe wewe unathaminishwa kwa pesa or Nyumba?