wanaume wa kiafrika bana....

wanaume wa kiafrika bana....

kwa mujibu wa mfumo dume...sasa kama wewe unataka kuupinga usipige kelele kuhusu kuolewa. tulizana ukiwa single....the choice u make the price u pay.

Hao wenyewe tunaowaita wanaharakati wengine wakiwa na wanaume zao wanaongea kwa unyenyekevu utasema si wale waliokuwa wanaongea kwa ushajaa na kuwahamasisha wanawake wenzao
 
ndoa imeingia mitini?
King Julian King'asti, njoo uokoe roho inayotaka kuacha mwili hapa.

watu wasiojua wajibu wao utawajua tu. Siwezi kuoa mwanamke asiyejua kupika au kufua hata kama hatapika na kufua yeye! Mpake chupi zake afuliwe na hg? Kazi yake nini? Kupaka rangi mdomo na kucha? Hata kama una mshahara mkubwa kiasi gani! Ni simple, just kaa uwe unavuna kwa kutumia k.
 
Last edited by a moderator:
Hao wenyewe tunaowaita wanaharakati wengine wakiwa na wanaume zao wanaongea kwa unyenyekevu utasema si wale waliokuwa wanaongea kwa ushajaa na kuwahamasisha wanawake wenzao

wee bwana hawa ni viumbe dhaifu na itabakia hivyo tuu...menono tuu hayo na wenyewe wapate ulaji. ukitaka kujua hawa dhaifu ule wakati wa game unaweza mgegeda bila ndom na asipige kelele.
 
Pole, mbona masista du wengi tu walaini laini wameolewa, wanaume wengi wanapenda mwanamke ambae yupo real na huenda mleta uzi jinsi anavyojiweka ni tofauti na makuzi yake ya awali ya ku-pretend hivyo hata kama uwe bomba namna gani ni mjinga tu ndio atavumilia, miaka yote demu ameishi kigumu toka kwao na ndugu zake wagumu alafu anajifanya soft na baadhi ya vitu hajui kwanini mtu asiingie mitini
 
King'asti, huyu ni nani?

Baada ya kuingia mitini na ile ofa ya dola elfu moja kaamua kuja na jina jipya la ubatizo?

noo nitaolewa,sema sio na muafrica,cha kushangaza huu mfumo dume ni kwa waafrica,yaani nikufulie nikunyooshee na mwanangu atamfulia nani nyoo...get lost.:majani7:
 
Last edited by a moderator:
watu wasiojua wajibu wao utawajua tu. Siwezi kuoa mwanamke asiyejua kupika au kufua hata kama hatapika na kufua yeye! Mpake chupi zake afuliwe na hg? Kazi yake nini? Kupaka rangi mdomo na kucha? Hata kama una mshahara mkubwa kiasi gani! Ni simple, just kaa uwe unavuna kwa kutumia k.

Kweli huenda hivyo vitu havifahamu sasa amekuta vigezo vya kijamii ambavyo jamii imejiwekea ambavyo vingi ni automatic vimemweke nje hivyo anabaki kulaumu wanaume wakati hivi vitu ni malezi toka utotoni wengi tumelelewa hivi hivyo kuviondoa ni mdogomdogo though haviwezi kuondoka vyote maana hata hao wanawake wakimkuta mwanamume yupo single anafua utasikia wanamwambia si uoe akusaidie
 
Kaolewe na mzungu uone kero yake.....kweni kuwa nyororo ndio inamaanisha unashindwa kufanya majukumu yako kama mke? mie sioni tatizo lipo wapi....gadgets kibao siku hizi washing mashine, rice cooker, dishwasher sii ununue tuu na bwana wa kiafrika bado atakupenda tuu....usilete sababu ambazo hazina msingi
Hakuna kero na mzungu.mzungu na penzi fake atakushtukia,mwafrika utamdanganya hopoo .red flag kwa mwafrika HIV .ukishaumwa ndio oh ulilala nje .hapa mama ako .african men very abusive
 
hili ndo tatizo kuoa mabint waliotoka familia mambo safi.Mume ukiwa legelege hawakawii kukufanya houseboy.Unaonekana mvivu wewe binti. Olewa na mzungu uwe unakula guud tym kuweka miguu sofan na kucheki tv 24hr,unakula na kulala itakuwa kazi yako.Post nynge zinaeleza huyu mtu ni waina gani.Dot.com generation kazi ipo.
 
Hakuna kero na mzungu.mzungu na penzi fake atakushtukia,mwafrika utamdanganya hopoo .red flag kwa mwafrika HIV .ukishaumwa ndio oh ulilala nje .hapa mama ako .african men very abusive

husomeki
 
watu wasiojua wajibu wao utawajua tu. Siwezi kuoa mwanamke asiyejua kupika au kufua hata kama hatapika na kufua yeye! Mpake chupi zake afuliwe na hg? Kazi yake nini? Kupaka rangi mdomo na kucha? Hata kama una mshahara mkubwa kiasi gani! Ni simple, just kaa uwe unavuna kwa kutumia k.
My hubby does everything he cooks,wash me and my clothes na kuwahudumia watoto.we have a mex lady anasafisha nyumba.my job is makeup shopping computer na just to relax around .
 
kumfulia mume nguo,kumpikia etc ni majukumu ya mke kwa mujibu wa NANI....katiba ipi?
uvivu, usista-duu na ujivuni on ndo shida yako kubwa sio kingine. mbona mama yako na bibi zako waliyaweza hayo majukumu na hawakutaka kuolewa na wazungu? too bad ada imepo...........
 
hili ndo tatizo kuoa mabint waliotoka familia mambo safi.Mume ukiwa legelege hawakawii kukufanya houseboy.Unaonekana mvivu wewe binti. Olewa na mzungu uwe unakula guud tym kuweka miguu sofan na kucheki tv 24hr,unakula na kulala itakuwa kazi yako.Post nynge zinaeleza huyu mtu ni waina gani.Dot.com generation kazi ipo.

kwani uongo??? mtu akiwa mrembo anajipenda,huwaga hamuweki long term plans mnataka hit and run na wengine mahandsome ya mjini yameoa kijijini ili yatanue watakavyo mjini bila kuulizwa lol:becky::becky::becky:
 
uvivu, usista-duu na ujivuni on ndo shida yako kubwa sio kingine. mbona mama yako na bibi zako waliyaweza hayo majukumu na hawakutaka kuolewa na wazungu? too bad ada imepo...........

labda mama yako na bibi yako waliweza,mie baba yangu na babu yangu walijua kabisa mapenzi sio kushare kitanda tu....hivyo mambo yalikuwa poa kwa mama na bibi yangu lol:becky:
 
shauri yako wewe jiachie tu ukomae watoto wazuri utawasikia radioni
 
King'asti, na kujisifu koote kule, kumbe Paw ni hard looking?

Wanaume wa kuafrika wako abusive na controlling wanajulikana dunia nzima.inaitaji moyo kuwa na mwanaume wa kuafrika .Very hard looking I can't stand them
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom