wanaume wa kiafrika bana....

wanaume wa kiafrika bana....

Weeeh ntake radh bado cjayaanza hayo maisha ya stress...dunia yangu furaha yangu

Hata mimi nilihisi kwani ujumbe uliotoa ulijaa ujana zaidi....Ila karibu ngomani ucheze sio kutikisa kichwa kwa utamu wa midundo...tupo pamoja Miss Ciello
 
dah may be huyo uliye nae au umekutana na mwanaume katoka bandarini kubeba mzigo au katika tandale kubeba gunia za mazao mle au konda wa daladala anahangaika na abiria toka asubuhi
na Hakuna kitu kama hicho bana eti kuwa mchafu ndo uanaume Preta hebu njoo huku useme
Maana naona mmetuandama sana wanaume wengine hawafui boxer wengine sijui sox wengine sijui nini dah

mmmh....mi wa kwangu ananukia vizuri...that perfume.....
ila hawa wanaume wachafuwachafu huwa mnakutana nao wapi jamani....mi mbona siwaonagi.....?
 
Le me love you until LEARN to love yourself....nananana.....nananana......
Haaaaaaaaa! Kumbe jf?
Ok me nikiwa mwanaume kamili, usafi ni jadi yangu, usafi ni tabia ya mtu, usafi ni malezi, mimi ninaamini usafi wa wanaume inategemea na malezi, let me share with you this:
Nikiwa mdogo mama yetu alitufundisha kuwa wasafi kiasi kwamba tukienda kuchunga ng'ombe lazima tuoge hukohuko mtoni, tukipeleka ndama lazima tuoge huko bwawani, kwa nini? Tunatokwa na majosho na mama hawezi kukurushu ulale bila kuoga....
Ukiamka asubuhi lazima msafishe mazingira,
kwa hiyo mpaka nimekuja kuanza shule ya msingi hadi sasa hivi usafi ni suala ambalo mama kanijengea,
najua wengine wanaweza kucritisize,
nimesema usafi tabia ya mtu.
Naunga mkono hoja.
 
hahahahahah wanataka kuoa wakati hawana nyumba sijui mke watamweka wapi?? uswazi kwenye chumba kimoja cha kupanga....waambie nata wamezidi hao...

Kuna ambao wakikaa hapo nilipo bold wanaridhika mno tena ukitaka kumpiga chini anakimbilia mahakamani kudai vitu mlivyochuma wote
 
good kama umekaa kny ndoa,sema namuonea huruma mkeo.....sikatai kuna majukumu....ila hili la kusema ni kazi za mama/mwanamke ndilo nalolipinga.....majukumu yawe shared babu tusizeeshane....nachoka mapema kwa kunitumikisha halafu unaenda kutafuta nyumba ndogo nyooo:confused2:

hakuna atakayekupangia kuwa hizi ni kazi za mwanamke na hizi ni za mwanaume bali utajikuta tu unafanya yanayokuhusu kutukana na malezi uliyoyapata tangu utotoni.
sasa kama wewe umelelewa mazingira ya kupaka rangi kucha kwa masaa matano au kufagilia uchafu chini ya uvungu utakua unakula matunda ya malezi uliyoyapata.
 
noo nitaolewa,sema sio na muafrica,cha kushangaza huu mfumo dume ni kwa waafrica,yaani nikufulie nikunyooshee na mwanangu atamfulia nani nyoo...get lost.:majani7:

Karibu Eurozone, kila kitu kinawekwa kwenye ratiba kuanzia asubuhi jogging, kuosha vyombo, kupeleka mbwa day care na kumpitia jioni. Ole wako utake kufanya sex wakati ambao sio muda wake, utaona anafungua note book na kkukuambia sio wakati wake.
 
lazima uwe umeshupaa shupaa hivi ndio wanataka kukuoa....ukiwa umelegea legea ngozi nyororo unanukia vizuri ndoa utaisikia kwa jirani,yanataka mtu wa kuwafulia,kuwanyooshea nguo na kuwa pikia :der::der::der::der::der::der::happy:

wanawake wengine bana, tunajiabishaga hivi hivi, hivi kwani kupika au kufua ni dhambi?

kila siku kula chakula kilichopikwa na house girl wewe kama mwanamke unajisikiaje?

hivi hata usafi wa chumba chako pia atafanya house girl?

kuna vitu vingine sio lazima uolewe ndio uvifanye, hata ukiwa single au ukiwa kwenu unatakiwa uvifanye..huo ndio uanamke wenyewe..

tuache uvivu wanawake.. tumezidi..
najua wote tunakwenda kazini na tunachoka, ni sawa kabisa..lakini kuna siku za mapumziko km week end unafanya mara moja moja sio mbaya..
kuna wanawake wengine kuanzia mwaka unaanza mpaka unaisha hajawahi kuingia jikoni, kwa kweli ni aibu..
 
Haaaa Mwaj, kwa maisha na elimu ya TZ siyo rahisi kwa mwanaume aoe tayari ana nyumba kama ukitaka wa hivyo utamkuta kwenye 40's

Hilo nalijua sana ndugu yangu! Na wala mie sio muumini wa hilo. Nilikwisha bishana sana na Natalia kwenye uzi mwingine kuhusiana na huo msimamo wake mpaka nikaamua kunyoosha mikono. Kwa hiyo hapo nilikuwa nacheka tu kana kwamba nina m-support maana sina la kusema.
 
My hubby is wealth .wanaume wasio na pesa Za nyumba inabidi waliwe tigo

hujajibu swali langu!nakuuliza na mzee N nae alikuwa alnaliwa tigo,sijakuuliza kuhusu mumeo,amabye sitashangaa sana siku ukija hapa na thread ukisema umekuta ana sugu ya pumzi za kiume shingoni kwake!nakuuliza kuhusu baba yako ,maana mama ako alikuwa na hela sana back in those times?
 
Jiendee kwa wazungu bana, umeshaliona hilo la waafrika huwawezi wala hawakuwezi. Nini kupigishana kelele? Move girl!
 
Hahaha! Hizi arguments zenu zinanichekesha lol!
Mi wala si-comment ngoja nijichekee tu
 
lazima uwe umeshupaa shupaa hivi ndio wanataka kukuoa....ukiwa umelegea legea ngozi nyororo unanukia vizuri ndoa utaisikia kwa jirani,yanataka mtu wa kuwafulia,kuwanyooshea nguo na kuwa pikia :der::der::der::der::der::der::happy:

Damn !!!! Are u.for.real ...??? Naona kama umewatukana na kuwadharau wenzako walio ndani ya Ndoa ..
 
wasikutishe kabisa hao, kuna wadada kibao watiifu/wema/wanaofaa kuoleka, na wala bibi asikulazimishe kuoa mana utakumbana na hii sample. gold digger,mengineyo humu yapotezee kabisa.

Umeona eeh! Sema hawa wazee hawajui, wanafikiri dunia yetu ni dunia yao. Bibi aliwahi nambia babu alimhonga kitawi cha mti kama kishika uchumba.

Sasa ni mwendo wa master card debit card
 
wanawake wengine bana, tunajiabishaga hivi hivi, hivi kwani kupika au kufua ni dhambi?

kila siku kula chakula kilichopikwa na house girl wewe kama mwanamke unajisikiaje?

hivi hata usafi wa chumba chako pia atafanya house girl?

kuna vitu vingine sio lazima uolewe ndio uvifanye, hata ukiwa single au ukiwa kwenu unatakiwa uvifanye..huo ndio uanamke wenyewe..

tuache uvivu wanawake.. tumezidi..
najua wote tunakwenda kazini na tunachoka, ni sawa kabisa..lakini kuna siku za mapumziko km week end unafanya mara moja moja sio mbaya..
kuna wanawake wengine kuanzia mwaka unaanza mpaka unaisha hajawahi kuingia jikoni, kwa kweli ni aibu..


aibu kwako,i sit my ass down and enjoy myself.......life is too short kuanza kuhangaika na masufuria na joto la jikoni!....mnajizeesha bure kwa upuuzi wa kuwa watumwa wa waume zenu the end result ni kuletewa watoto wa nyumba ndogo...wewe uamke asubuhi upike chai,ufagie uwanja,ukachote maji uwaogeshe watoto uende kazini urudi.....bado una nguvu ya kumpa mumeo haki yake kweli??????????jibu ni HUNA mumeo huyooooooooooooooooooo kwa kimada...WAZUNGU OYEEEEEEEEEEEEEE AKIONA UNAFANYA HIKI ANAKUSAIDIA KILE...mnakuwa close mapema kabla ya tendo...... since wanawake has been proved wanahitaji kuandaliwa long before tendo lenyewe.:shut-mouth:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom