Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Usicheke basi nitalia bure 😒 😒 😒
Wewe unatoa macho tuu 😅😅 huyo analalamika sie sio wakweli kwani hajui kanuni, muweka mwanaume mapajani anza zungumza kwa lugha laini mbona atasema ukweli anaotakaaa.. au ile mwanaume kalala mwanamke anakuwa juu mbona ataambiwa ukweli anaotaka shida hajiongezi 😅😅😅
 
Wewe unatoa kacho tuu 😅😅 huyo analalamika sie sio wakweli kwani hajui kanuni, muweka mwanaume mapajana anza zungumza kwa lugha laini mbona atasema ukweli anaotakaaa.. au ile mwanaume kalala mwanamke anakuwa juu mbona ataambiwa ukweli anaotaka shida hajiongezi 😅😅😅
Aaahhh sasa mbona hiyo kanuni hujaniambia toka muda kaka yangu mpaka umesubiri mwaka umeisha huu
Anyway mwakani mapema kabisa naanza nayo....hehhe niombeeee 😆 😆 😆
 
Aaahhh sasa mbona hiyo kanuni hujaniambia toka muda kaka yangu mpaka umesubiri mwaka umeisha huu
Anyway mwakani mapema kabisa naanza nayo....hehhe niombeeee 😆 😆 😆
Jana nilikuwa bebi humu leo nimekuwa kaka, kweli kukosa kazi ni kukosa kila kitu😢😢.. Dawa mtuweke mapajani siona Samson alitoa hata siri za Mungu kwa Delila 😅😅😅 nyie wagumu kututunuku mnakaza tu kutuika makaka kisa hatuna hela ila tuna siri sasa 😁😁
 
Jana nilikuwa bebi humu leo nimekuwa kaka, kweli kukosa kazi ni kukosa kila kitu😢😢.. Dawa mtuweke mapajani siona Samson alitoa hata siri za Mungu kwa Delila 😅😅😅 nyie wagumu kututunuku mnakaza tu kutuika makaka kisa hatuna hela ila tuna siri sasa 😁😁
Usiseme hivo my wangu wewe ni bebi, kaka, mjomba, ukizidi kidogo utakua hadi mama 😆
Nielekeze bas gardens nzuri za kukaa ili nkimpata huyo bebi nimueke mapajani kama delila nimnyoe kipara kabisaaa
 
Usiseme hivo my wangu wewe ni bebi, kaka, mjomba, ukizidi kidogo utakua hadi mama 😆
Nielekeze bas gardens nzuri za kukaa ili nkimpata huyo bebi nimueke mapajani kama delila nimnyoe kipara kabisaaa
☺️☺️☺️ Mjomba ni mama, alafu wajomba sijawai kusikia wanawalala watoto wao, ila wababa wadogona wababa wakubwa sana tu.. Labda niwe baba mdogo hivyo vyetu vya kutunyima ridhiki tumevichoka.. na mzabzab ni nani
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA

yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo

Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo

Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Umesahau kutaja na kabila lako japo watanzania hatuulizani makabila,😀
 
☺️☺️☺️ Mjomba ni mama, alafu wajomba sijawai kusikia wanawalala watoto wao, ila wababa wadogona wababa wakubwa sana tu.. Labda niwe baba mdogo hivyo vyetu vya kutunyima ridhiki tumevichoka.. na mzabzab ni nani
😆 😆 😆 😆 😆 yani wewe ni mjomba tena mjomba tena hiyo ridhki unayoongelea utaiskia tu my wangu😉
Aaahh huyo mie wala simjui asije akatuharibia zetu
 
😆 😆 😆 😆 😆 yani wewe ni mjomba tena mjomba tena hiyo ridhki unayoongelea utaiskia tu my wangu😉
Aaahh huyo mie wala simjui asije akatuharibia zetu
Yani nyie wamama wa humu mnavyo tudharau kama tupo vichaa vile... mzabzab tufanye namna huyu mama tupige 3some ya MMF😅😅
 
Nyie vitoto vya huku mko hovyoooooooooooooooo 😉 😉 😉 😉
Au nkuanzishe thread ulivyokuja kuniomba hela piemu😒😒😒
😬😬😬 Kuombwa hela si kawaida, uzuri Jf wanajua sina kazi na sina hela kuja kukuomba hela wala hawatashangaa huenda wakaniomba na namba wanichangie kwenye halopesa yangu😁😁😁😁

Mmetuchoka sana hadi mnatuita vitotooo
 
😬😬😬 Kuombwa hela si kawaida, uzuri Jf wanajua sina kazi na sina hela kuja kukuomba hela wala hawatashangaa huenda wakaniomba na namba wanichangie kwenye halopesa yangu😁😁😁😁

Mmetuchoka sana hadi mnatuita vitotooo
Umenishinda tabia wallah 😆 😆 😆 😆 kumbe hata huogopi na unaipenda tabia yako
Sasa kama mna viherehere kama wewe unadhan tutawaitaje
 
Umenishinda tabia wallah 😆 😆 😆 😆 kumbe hata huogopi na unaipenda tabia yako
Sasa kama mna viherehere kama wewe unadhan tutawaitaje
😅😅😅 Na uzuri na sie tumeishakubali matokeo, tunapambama na hali zetu kitaaa.. Kirohooo safi
 
😅😅😅 Na uzuri na sie tumeishakubali matokeo, tunapambama na hali zetu kitaaa.. Kirohooo safi
Naelewa hilo tajiri wangu wa mchongo...ila usinisahau bas kwenye madeal yako si unajua sie wote jobless
Halafu ubuyu mzigo mpya nimeleta kiongosiiiii
 
Back
Top Bottom