Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Naelewa hilo tajiri wangu wa mchongo...ila usinisahau bas kwenye madeal yako si unajua sie wote jobless
Halafu ubuyu mzigo mpya nimeleta kiongosiiiii
๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„ nipo mwenge hapa nauza matundaa ukimaliza kituo cha puma, mkono wa kushoto niletee
 
๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„ nipo mwenge hapa nauza matundaa ukimaliza kituo cha puma, mkono wa kushoto niletee
Mida gani boss wangu na nilte kiasi gani si unajua biashara ilivyo ngumu
Niekee na mimi matunda ya buku changanya maembe na mananasi
 
Mida gani boss wangu na nilte kiasi gani si unajua biashara ilivyo ngumu
Niekee na mimi matunda ya buku changanya maembe na mananasi
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Nikuache banda la matunda, kama mahali basi ya wiki nzima ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Nikuache banda la matunda, kama mahali basi ya wiki nzima ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Wewe una utani eee
Week nzima unanichukuchua tu akhaaa niache mie biashara yagu ya ubuyu hainilazi njaa ๐Ÿ˜‰ ๐Ÿ˜‰
 
Wewe una utani eee
Week nzima unanichukuchua tu akhaaa niache mie biashara yagu ya ubuyu hainilazi njaa ๐Ÿ˜‰ ๐Ÿ˜‰
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Si unapata utamu, raha na biashara ya matunda yote inakuwa yako
 
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu

Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA

yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo

Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui

Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo

Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Ila wanawake๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ Hii Jf mnaichukulia serious sana eti? We kabisa unataka upate mwanaume kwenye forum ambayo hawaweki hata picha zao wala id halisi. Hope hujamvulia nguo tu maana kama tayari hata hili bandiko mwenzio analicheka na kungโ€™ongโ€™a
 
Embu niache mie baki na matunda yako nibaki na ubuyu wangu
Sikujua kama wew ni mteja wa mchongo hivo ๐Ÿ˜‰ ๐Ÿ˜‰
Siku nikipata hela na kazi nitawatembezea mbakola nyie ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ tuoneni tu kama paka
 
hii siyo kweli naomba ukanushe hii post Yako ..Naomba niwe wa kwanza kujiondoa kwenye hii tuhuma nzito..Serious am not among the one unaowatuhumu..Please twamaliza Mwaka please ungewataja hao kuonyesha kuwa wameonyesha utoto kuliko kutuingiza ambao siyo wa makundi hayo. Ni heshima mkawa very clear than generalisation ni ungwana na ukomavu wa akili na afya ya Akili. Hii kasumba siyo nzuri kabisa tunaichukulia JF kama Badoo au Facebook wakati ni Jukwaa kubwa na lenye heshima kubwa Duniani. Mkishindwana PM please acha kuja na tuhuma ya Jumla.

Naomba niondolewe kwenye hiyo Tuhuma... Otherwise muwe mnafanya Due deligence kabla hamjaanza na hayo mahusiano yenu yakuombana kumbembelezan mara kupigiana usiku mara ya kutumiana vocha.
Khe. Umejieleza hadi nimekuonea huruma utasema ni malaika๐Ÿ˜
 
Hata kama ikiwa zero date,kuomba naniii ni Kanuni na Msingi wa Maisha

kwani tumepanga kudiskass kikao cha kuleta maji au umeme auu? halafu

mimi first date kama sijakulamba siwezi hata ongea point kwenye hayo maongezi

Nipe kwanza nipunguze machungu ya nlikotoka halafu tuanze ongea,ntakushushia point

hadi utahisi Mume si ndio huyu sasa, ila ukibana bana miguu halafu utegemee ni act Paroko,lazima uje unianzishie UZI tu,no way out.
 
Back
Top Bottom