Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,314
Mleta uzi ana ushuhuda msiupuuze🤣Pm tutawafata
Wakitupa za uso ni bahati mbaya
Aluta kontinyua
Itakuwa swaga zimekuponza kama alikula mzigo ndio imetoka hio labda uwe fundi sanaWanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Leo tunaendelea pale tulipoishia dada yanguPm tutawafata
Wakitupa za uso ni bahati mbaya
Aluta kontinyua
Na sisi wa chanika😂🙌Nyie wa Brazil nawaogopa mnaomba sana hela, tushawashtukia😆😆
Tutaona haha
We ulijilengesha ili utongozwe. Umetongozwa unaleta lawama na makasiriko ya nini? Toa utelezi watu wajilie bwn! Usituchefue sie!!!!Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sjapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nn Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie cm usiku ninamke Mara naogopa tutagombana
Wakat inbox unanitongoz unadai upo single chefu[emoji25]
Alafu wanaume wa jf ni waongo jamani anajifanya moyo mpweke anajibebisha uko Bobo anakuita ili umpelekee chini tu
Asa we nae unawatoto 4 uko Italia mala Sudan[emoji119] ulivyo muongo afu eti Sina mke natak uwe mke wangu
Mtchewwww[emoji57] Apo Apo usipige cm nipo kazin mala saiv usik babe,babe ya nyoko[emoji25] MNITUE NA INBOX YNGU NAFUNGA
yani jf kwa kuact magenius kumbe makopo
Afu nawewe nikikuona umekomment hii post ntakuaibisha kwa kuniomba omba vocha eti unibembeleze usiku nilale ka pono[emoji57] kwanza umenshangaza toka lini mnyakyusa ukajitia mkorogo Tena mwanaume
Alokwambia natak kubembelezwa nilale kwani kufunga macho mi sijui
Yani jaman ukiomba mchumba jf shughuli ipo
Aaah wakaka awatak upendo kwanza first day wanatak [emoji97][emoji533]
Ukimwi hautaisha
MTU ata ujawai mwona
Humjui ndo first date na [emoji97][emoji533] unaomba [emoji57] chefu
Pilau kavu bila nyama wala soda ili ukabwe vizuri😆😆Utanifunga na kamba gani mrembo🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo mana sipat mademu asee [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kwenye msosi hakunaga wa kunitesa nina nyodo sio za nji hii😂😂😂Pilau kavu bila nyama wala soda ili ukabwe vizuri😆😆
Nakuombea mkuu kila lililo jema[emoji120]Kweli kabisa nimepata mawazo mengi sana na ninayakuza ili kuyafanyia kazi. Little by little mpaka yatakuwa yanaonekana kwa macho yetu.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Huhuu hupendi ukewenza weyeAnataka kutuchezea mimi naona 😒 😒
Mie simtaki tena hata