Wanaume wa Dar ni akina nani?

Wanaume wa Dar ni akina nani?

Mwanaume wa dar ni watu kama sisis ambao ni soft na nimaHB kama Mimi juvenile Davis
 
Na serikali ina amia dodoma that means dar itakuwa "MKOANI"
Unajua sababu za mikoani kuitwa mikoani? Au unafikiri ni jina lililotungwa na serikali inayohama? Wakazi wa Dar wwliotoa jina bado wapo. Wa Dar mtabaki kuwa wa Dar na uzembe wenu na sisi wa mikoani tutabaki mikoani
 
Kabla ya haya mambo mnayo jisifia jitahidini kutafuta pesa sio kulala kwenye kochi usiku mtu mzima kwenye nyumba ya wazazi

Huwa inakera sana mnavyo omba omba bia clubs tukija sisi wa Bara hapo mjini kuuza mazao yetu

Ndiyo maana tunawachapia easily mademu wenu ehehehehe
Mna matatizo sana watu wa mikoani, debe la mahindi unauza buku 5000,kilo ya pamba tsh 700/= shamba lenyewe likijitahidi eka moja gunia tano haya hela ya kumnunulia bia au kuhonga demu wa kidaslaam unapata wapi, kama umebahatika kutembelea hapa mjini ndugu unaenda kununua mademu zenu wa mikoani wanaotafuta maisha pale Buguruni,Sokota,Sinza,Tandika buku 3000/= Pombe zenu kibuku,chimpumu,komoni,mbege,ulanzi.Mademu wa Dar gharama lazima unukie fedha.Wadar slaam wanatafuta hela kwa mipango na akili ndio maana wanamiliki masofa sio vigoda
 
Hapa kenya shoga ndiye anatambulika kama mwanamme wa Dar. Tunaamini wao ndio wasengeh wakuu Africa.
Huku Dar tunaamini wanaume wa wakenya ndio wanongoza kwa kuolewa barani Afrika,kupigwa na wake zao,kuunda vyama vya kutetea wanaume wanaonyanyaswa na wanume na then tunajua kuwa mademu wenu wana sura mbovu na wakakamavu kama beberu



editor6053289349611252346-524x350.jpg

Shoga la Nairobi lililoolewa
 
Mna matatizo sana watu wa mikoani, debe la mahindi unauza buku 5000,kilo ya pamba tsh 700/= shamba lenyewe likijitahidi eka moja gunia tano haya hela ya kumnunulia bia au kuhonga demu wa kidaslaam unapata wapi, kama umebahatika kutembelea hapa mjini ndugu unaenda kununua mademu zenu wa mikoani wanaotafuta maisha pale Buguruni,Sokota,Sinza,Tandika buku 3000/= Pombe zenu kibuku,chimpumu,komoni,mbege,ulanzi.Mademu wa Dar gharama lazima unukie fedha.Wadar slaam wanatafuta hela kwa mipango na akili ndio maana wanamiliki masofa sio vigoda
Mhh
Hawa wanaoshinda kwa mshua wana badili tu TV kwa remote wanapata wapi pesa?Mbona wakituona pale Catalunya sisi wa Bara tunatumia wanatuletea mademu zao ili nao wanywe pombe?

Vijana wengi wa Dar(sio wote)ni PIMPS kwetu sisi wa mikoani
 
Wanaume wa Dar nikama yale makuku ya kizungu sijui wanayaita boilers yaani ukiliacha hapo asubuhi utarudi jioni ulikute hapo hapo yaani hata mvua ikipiga haliwezi kuingia ndani ndo walivyo
 
Huku Dar tunaamini wanaume wa wakenya ndio wanongoza kwa kuolewa barani Afrika,kupigwa na wake zao,kuunda vyama vya kutetea wanaume wanaonyanyaswa na wanume na then tunajua kuwa mademu wenu wana sura mbovu na wakakamavu kama beberu



View attachment 372169
Shoga la Nairobi lililoolewa
huyo jamaa alienda majuu miaka ya 80s hivi. maybe he is gay for pay. kenya twafanya kila kitu bora pesa. nakwambia huku ukisema wewe mwanamme wa dar, waanza kufungiwa jicho.
 
Mnapaishwa ndio. Endeleeni kulegea maana ndo mnavyopenda hivyo
Wewe ndio unaona tumelegea? njoo na mlegezo uone tutakavyokufanya... pulu lako... Dar ina raia zaidi ya 5million so hawawezi fanana wote kuna raisi,Waziri Mkuu,Wabunge,Makatibu wakuu,mabondia,wana wa Manzese,Keko,Kariakoo huku lazima utumie akili nyingi uishi hakuna ujinga ujinga mtu anaweza uje kumpotezea muda wa kwenda kasi... Akili zenu za Kijinga mnadhania watu wa Dar ni Walegevu pole Sana Umepotea kama wamtumainio Mungu kuwa Yupo atawasaidia au anawasaidia... Hakuna Fanya kazi ya kuleta pesa akili zaidi Nguvu Kidogo Nguvu zinatumika zinapohitajika kwa wakati Muafaka
 
Wewe ndio unaona tumelegea? njoo na mlegezo uone tutakavyokufanya... pulu lako... Dar ina raia zaidi ya 5million so hawawezi fanana wote kuna raisi,Waziri Mkuu,Wabunge,Makatibu wakuu,mabondia,wana wa Manzese,Keko,Kariakoo huku lazima utumie akili nyingi uishi hakuna ujinga ujinga mtu anaweza uje kumpotezea muda wa kwenda kasi... Akili zenu za Kijinga mnadhania watu wa Dar ni Walegevu pole Sana Umepotea kama wamtumainio Mungu kuwa Yupo atawasaidia au anawasaidia... Hakuna Fanya kazi ya kuleta pesa akili zaidi Nguvu Kidogo Nguvu zinatumika zinapohitajika kwa wakati Muafaka
Unamsimulia nani Dar? Mi ndo siijui na wanaume wake? Kwa taarifa yako naweza fika Dar nikatoka na wewe ukaonekana mshamba sana. Tatizo wanaume wa Dar mnaamini kujua mji ndo kila kitu. Hao wa Manzese wanaokula kuku wa kisasa tena vibudu vinavyouzwa barabarani, huko keko mnashindia kiepe yai la kizungu, Kariakoo mnasogea Mnazi mmoja jioni kupata supu ya pweza, n.k ndo mnajiona wabishi. Kuna dem wa mtu ananitaka nije kumkuna. Will be there this weekend alafu nageuza Jpil nisije kuadopt tabia zenu.
 
daaah! ili battle sijui litaisha lini!!!

lakin apparently wanaume wa mkonia mna wivuuu!!
Yaani Wanaume wa Dar sijui mpoje.. Unaanza vipi kusema mwanaume mwenzako ana Wivu.. kwanza neno wivuu linatoka sanaa midomoni mwa Wanawake..
 
Wapenzi wangu, habarini

Msemo huu unazidi kuwa maarufu siku baada ya siku. Mwanzoni sikuutilia maanani sana.
Juzi nilikuwa kijijini kwetu, kijijini kabisaa!! Nikamsikia kijana mmoja anamwambia mwenzake "... Mimi sio mwanaume wa Dar..."

Leo nikiwa katika daladala, yakatokea Majibizano kati ya Kondakta na abiria.
Pamoja na maneno mengi Kondakta aliyoongea, neno hili nililishika ipasavyo "... Mimi siwezi kujibizana na wanaume wa Dar.."

Swali langu, mwanaume wa Dar ni nani? Anatambulikaje?
We unaishi wapi? Kama unaishi Dar naamini una mahusiano na mmoja wa wanaume wa Dar. Sasa huko kijijini ulikokwenda, pata mwanaume wa kijijini, fanya mahusiano naye. Hapo sasa, utaifahamu tofauti ya wanaume wa Dar na wengine nje ya Dar!
 
wanaume wa Dar wanafanya mashindano ya kula chips yai...
yaani naniii zao zimelegea mfano wa chips yai...

Mwanaume hasifiwi kula, mwanaume anasifiwa pirika na kuhangaika kwake katika kusaka maisha.sasa hiyo sifa ya kula duhh eti mwanaume yule anakula hiyo wala siyo sifa ya mwanaume.
 
Back
Top Bottom