Wanaume wa Dar ni akina nani?

Wanaume wa Dar ni akina nani?

Mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe.

Ndio hivyo mkuu. Inabidi tuvulie tu and be proud of our being wanaume wa Dar. Dizaini ni ile hali ya sizitaki mbichi hizi ya sungura wakati ukweli ni kwamba kashindwa kuzifikia ndizi zilizoiva. Hao wanaotushambulia wanatamani siku zote angalau wawe sehemu ya jiji la mwendokasi. ha ha haah
 
Jamani Na sisi ambao life imegoma kusogea mikoa ya pembezoni Na kuja Dar kutumia fursa zilizopo mbona mnatunyima raha!. In maana turudi tulikotoka tukaendelee kupigika Na tukila mlo mmoja tujisifu sisi Ni wagumu. Siwaelewi kabisaaaa!.
Hakuna mwanaume wa mikoani anayekula mlo mmoja labda uwe umetoka Dar,
 
mi ananikeraga yule anayesema wanaume wa dar hatusimamishi kwa muda mrefu ndio maana tunatumia midomo (chumvini)

mambo ya kutiana aibu tu

Mkuu wanaume wa mikoani wakija Dar nahisi labda ndio ambao hawasimamishi zuri kwasababu ya kupaniki ndani ya jiji la mwendokasi
 
Wapenzi wangu, habarini

Msemo huu unazidi kuwa maarufu siku baada ya siku. Mwanzoni sikuutilia maanani sana.

Juzi nilikuwa kijijini kwetu, kijijini kabisaa!! Nikamsikia kijana mmoja anamwambia mwenzake "... Mimi sio mwanaume wa Dar..."

Leo nikiwa katika daladala, yakatokea Majibizano kati ya Kondakta na abiria.

Pamoja na maneno mengi Kondakta aliyoongea, neno hili nililishika ipasavyo "... Mimi siwezi kujibizana na wanaume wa Dar.."

Swali langu, mwanaume wa Dar ni nani? Anatambulikaje?

Soma post zangu...utaweza ku-solve hiyo matrix bidada
 
Wanaogopa panya road, wanapenda chips, wanasoma magazeti ya shigongo, wambea, muulize story za dimondi anajua mpaka sasa hivi yuko wap? amelala wapi? amekula nini? wanajua hawa wanaume wa dasalamu.
 
Aaaaaah watoto mchele mchele....kiuno mbele mbele
 
Ni lege lege kitandani,akipiga mzunguko mmoja saa 1 jioni kurudia tena kesho saa moja jioni
Hawali vvyema wao ni chips mayai
Hawezi kukubeba beba huku anakupiga nao mjeledi sababu HAWANA nguvu
Akikugegeda hata senti hakuachii baada ya kumpa papuchi

Njoo kwangu MWANAMME wa mkoa!Saa 1 bao moja
Vp mkuu walikupitia kwenye namba yako ya tigo,unaonyesha una ka-experince, maana wadaslaam wachafu kwenye namaba za tigo za watoto wa mikoani
 
Nakerwa na wanaume wa mikoani kuongelea wanaume wa kidaslaam,alaf wanalalamika sana kutotolezwa kimahitaji ya ngono na wanaume wa kidaslaaam(sijui wanawapaga 0714..).Labda wangekuwa wanawake kweli. Lakini sijawahi kuona binti wa mkoani akilalamika zaidi ya midume yao.
 
Tatizo wa mkoani hawa cha kuzungumza zaidi ya kuwaongelea wanaume wa dar
 
proud to be mwanaume wa dar nyie wa mkoa acheni unazi huko hebu limeni mazao hayo
 
Vp mkuu walikupitia kwenye namba yako ya tigo,unaonyesha una ka-experince, maana wadaslaam wachafu kwenye namaba za tigo za watoto wa mikoani
Kabla ya haya mambo mnayo jisifia jitahidini kutafuta pesa sio kulala kwenye kochi usiku mtu mzima kwenye nyumba ya wazazi

Huwa inakera sana mnavyo omba omba bia clubs tukija sisi wa Bara hapo mjini kuuza mazao yetu

Ndiyo maana tunawachapia easily mademu wenu ehehehehe
 
Back
Top Bottom