Wanaume wa Dar ni akina nani?

Wanaume wa Dar ni akina nani?

Wapenzi wangu, habarini

Msemo huu unazidi kuwa maarufu siku baada ya siku. Mwanzoni sikuutilia maanani sana.
Juzi nilikuwa kijijini kwetu, kijijini kabisaa!! Nikamsikia kijana mmoja anamwambia mwenzake "... Mimi sio mwanaume wa Dar..."

Leo nikiwa katika daladala, yakatokea Majibizano kati ya Kondakta na abiria.
Pamoja na maneno mengi Kondakta aliyoongea, neno hili nililishika ipasavyo "... Mimi siwezi kujibizana na wanaume wa Dar.."

Swali langu, mwanaume wa Dar ni nani? Anatambulikaje?

Ukimpa namba Tu! "utaskia neno babe"
 
DAR.jpg
 
huyu mara nyingi huwa sio mzaramo,japo pia anaweza kuwa,ni mtu wakuja tu hapa downtown dar es salaam...yeye ata shilingi mia anapiga...anatafutapesa aibadili jana...is too focus kuishi large life kwa gharama yoyote,hapo ndio uleta shida wengine uvuka mipaka na kufanya magumashi tulie ethical what we do we hustle hard...actually tunapesa,and some time we spend enough...we cares our family kuipeleka out hapa na pale huwa tunahakikisha mke au girlfrnd ni mzuri na dressing codes za kutosha...tunanukia manukato popote ukitukuta...hatuko shabby,mara chache sana tukitembea kwa miguu tunajipiga piga vyovyote vile gari inahusika ata kama passo tumiliki,huwa hatukimbilii kujenga ilimradi nyumba(woga wa maisha)...tukiwahi sana tunajenga nyumba flan hivi tunaziita crib...ni watanashati,its cardet and jeans...wakiofsini chini ni travota....maeneo ya msoso utakuta Katalunya kama wako less sana watabe burger za bamaga...hawashinda kula wanashinda pesa na maendeleo...wanashule kichwani hawasomi kwa sifa wanasoma kwa malengo account zao haidrop m ukimkuta ndio anaanza...tunapenda kweli hatupigi mechi kama vita,tunapiga show too romantic sio za kama kesho hutopewa tena...tuna wadada wetu ambao hawajakatwa ile ndude,wao wanapenda vitu lain sio vyakukamia ma mitishamba...Huyu ndio mwanaume wa darslama
 
Wanaume wanaofugwa na wanawake (marioo), wanaume wazembewazembe, wavivu, wanaume wanaojadili mpira masaa yote (simba yanga), kazi kwa sio kipaumbele, wanaweza kutizama makalio ya wanawake na kuyajadili km kitu muhimu sana, ombaomba n.k.
 
huyo jamaa alienda majuu miaka ya 80s hivi. maybe he is gay for pay. kenya twafanya kila kitu bora pesa. nakwambia huku ukisema wewe mwanamme wa dar, waanza kufungiwa jicho.
Kwa hiyo mnaolewa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa ajili ya pesa? ndio maana ina make sense that Kenya,especially Nairobi is super leading country in Africa when it comes to gay's jubilees and parties,(wana sherehe na jubilee nyingi tu kishoga)na Obama alivyokuja hapa tz hakuongea huo upuuzi ila alipofika huko aliongea na anaongoza kwa kuunga mkono mashoga duniani ina maaana amerithi genetically.By the Dar ina mabaasha.
 
huu msemo huwa unaambatana na kashfa, yani huwa wanamaanisha mwanaume mwenye tabia zakike katika kauli zake, pia huwa na maana ya mwanaume goi goi kitndani, kimsing mtu akikuita hivyo inatakiwa um discipline hata kwa maneno kama ngumi unaona zitakupeleka keko
 
Wapenzi wangu, habarini

Msemo huu unazidi kuwa maarufu siku baada ya siku. Mwanzoni sikuutilia maanani sana.
Juzi nilikuwa kijijini kwetu, kijijini kabisaa!! Nikamsikia kijana mmoja anamwambia mwenzake "... Mimi sio mwanaume wa Dar..."

Leo nikiwa katika daladala, yakatokea Majibizano kati ya Kondakta na abiria.
Pamoja na maneno mengi Kondakta aliyoongea, neno hili nililishika ipasavyo "... Mimi siwezi kujibizana na wanaume wa Dar.."

Swali langu, mwanaume wa Dar ni nani? Anatambulikaje?
ukilala nae bila nguo ndio utamjua
 
huyu mara nyingi huwa sio mzaramo,japo pia anaweza kuwa,ni mtu wakuja tu hapa downtown dar es salaam...yeye ata shilingi mia anapiga...anatafutapesa aibadili jana...is too focus kuishi large life kwa gharama yoyote,hapo ndio uleta shida wengine uvuka mipaka na kufanya magumashi tulie ethical what we do we hustle hard...actually tunapesa,and some time we spend enough...we cares our family kuipeleka out hapa na pale huwa tunahakikisha mke au girlfrnd ni mzuri na dressing codes za kutosha...tunanukia manukato popote ukitukuta...hatuko shabby,mara chache sana tukitembea kwa miguu tunajipiga piga vyovyote vile gari inahusika ata kama passo tumiliki,huwa hatukimbilii kujenga ilimradi nyumba(woga wa maisha)...tukiwahi sana tunajenga nyumba flan hivi tunaziita crib...ni watanashati,its cardet and jeans...wakiofsini chini ni travota....maeneo ya msoso utakuta Katalunya kama wako less sana watabe burger za bamaga...hawashinda kula wanashinda pesa na maendeleo...wanashule kichwani hawasomi kwa sifa wanasoma kwa malengo account zao haidrop m ukimkuta ndio anaanza...tunapenda kweli hatupigi mechi kama vita,tunapiga show too romantic sio za kama kesho hutopewa tena...tuna wadada wetu ambao hawajakatwa ile ndude,wao wanapenda vitu lain sio vyakukamia ma mitishamba...Huyu ndio mwanaume wa darslama
wewe nae wa mkoani si wa dar slaam acheni kujipendekeza.Mbona hamueleweki?
 
Kwa hiyo mnaolewa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa ajili ya pesa? ndio maana ina make sense that Kenya,especially Nairobi is super leading country in Africa when it comes to gay's jubilees and parties,(wana sherehe na jubilee nyingi tu kishoga)na Obama alivyokuja hapa tz hakuongea huo upuuzi ila alipofika huko aliongea na anaongoza kwa kuunga mkono mashoga duniani ina maaana amerithi genetically.By the Dar ina mabaasha.
naona comment yangu imekuridhisha mwana! Tunataka kuproduce many homos as possible then tuexport to US, that means revenue kwetu. Kenya ikiisha wanaume, tuuze land yote na wanawake to willing buyers, kila mtu afe na pesa yake. Now kafanye kazi.
 
Back
Top Bottom