dudumizi09
Member
- Jul 11, 2015
- 76
- 120
Nimesikiliza clip ya dada mmoja anaeelezea mtu alie choma watu kisu ndani ya Daladala. Eti wanaume watu wazima walikuwa wanakanyagana kukimbia.
Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.
Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!
Aibu iliyoje hii
Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.
Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!
Aibu iliyoje hii