Wanaume wa Dar buana...!

Eti mnabeba mimba miezi tisa sisi tunao wabeba kwenye pumbu miaka na miaka siyo watu!? Tukisema tuwape na ninyi hiyo miezi tisa mtusaidie kidogo tu, ndo inakua nongwa!? Mngelizaliwa wanaume basi. Alafu mtupatie sisi mimba. Pumbavu, Umelewa petrol nini!?
 
Nakuambia kuzaliwa mwanamke Afrika tayari wewe ni shujaa
Wanawake Hawapendani sijawahi kuona tangu nizaliwe. Nenda sehemu za kutoa huduma uone wanavyotendeana. Aibu aibu aibu!
 
mm huwa nakaa nyuma sitaki stress ya kuwaza nimpishe mtu au la, maana ukute hapo ni safari ya gomzi hadi masaki ,
 
Hahahaha
Aisee
 
Noma sana mkuu alafu huwaga wanahisi ni jukumu lako kumpisha kwenye siti akee...!! japo kweli wenye mimba huwa wanakuwa hoi sana mkuu
Yani balaaa
 
Haha pole sana mdau
 
Mie kusema kweli mpaka leo hii sijaelewaga huu msemo wa kwamba wanawake hatupendani. totally untrue! Mtu wa kumsitiri mwanamke ni mwanamke mwenzake, angalau kwa asilimia kubwa! Sijui kwa nini tunalazimishwa kuwa tunachukiana. And yes, yoyote angeweza kumpisha huyo mama alimradi yupo karibu, sasa ina maana wote tukinyanyuka nani atakaa 😀😀.
 
Wanasisitiza hivyo kwa sababu wanataka iwe hivyo watutawale vizuri. Divide and rule
 
Kama mnajua machungu ya mimba kwanini msipishane?
Sisi hata hatujui hiyo mimba ina uzito na maudhi gani.

Ikitokea nimepanda dalala huwa naangalia vitu 2. Kimoja, jua liko upande gani nikae safe. Pili sikai siti za mwanzo mwanzo ili nipishe watu.
 
Ila ni changamoto sn muda mwingine anaweza kuingia mtu mwenye uhitaji siku hiyo ukawa uko ovyo kabisa umajichokea kwny shughuli zako kiasi kwamba hata kusimama unaona shida hapo kupisha ngumu lkn pia kuna wale binadamu unakuta ana mtoto au ni mjamzito anaona kabisa gari halina seat na kuna magari mengine ambayo anaweza kusubiri kidogo akapata seat cha ajabu unakuta anaingia kwny lililojaa kisa tu anajua atapishwa kwny seat,wkt mwingine inabidi ujijali lkn pia ujali na wengine kwa wale wenye mahitaji maalum makubwa mf hana mguu mmoja nk hao sawa maana
 
Mimi naomba nicmame kwenye swali lako la " Ninyi wanaume kama anaingia mwanamke mja mzito au aliyebeba mtoto! Nani anaepaswa kumpisha kwenye cti! Ni mwanaume au mwanamke? Nini maana ya kumpisha huyo mwanamke c no lkwa 7bu ya hiyo Hall laliyonayo? Sasa swali hujibiwa kwa jibu! Lkn jibu utakalonipa kwa swali langu naamini LITATOA jibu ZURI! Kati ya mwanamke na mwanaume ni NANI anaejua kama ni UCHUNGU au WEPESI wa huyo mama kwa wakati huo?
 
Vipi kama sijawahi kupitia hiyo hali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…