Wanaume wa Dar buana...!

Wanaume wa Dar buana...!

Wanaume bhana sasa kumpisha mwanamke kwenye siti ndo mwaona mnawahurumia sana wanawake mbona mkitoka shamba mnawabebesha mizigo yote na ukifika home unataka akupikie tena fasta kana kwamba yy hachoki.
 
zamani nilikuwa na tabia ya kumpisha mwanamke kwenye siti haijalishi ni mdogo kama kirikou lakini siku hizi tabia hiyo nimeacha.
kwani haoni kama gari imeshajaaa?​
Kuna maeneo haikwepeki hiyo sunbae. Imagine mtu anakaa banana anataka kwenda kariakoo halafu ni zile busy hours unadhani itatokea apate gari ambayo haijajaa?
 
Wanaume bhana sasa kumpisha mwanamke kwenye siti ndo mwaona mnawahurumia sana wanawake mbona mkitoka shamba mnawabebesha mizigo yote na ukifika home unataka akupikie tena fasta kana kwamba yy hachoki.
Nakuambia kuzaliwa mwanamke Afrika tayari wewe ni shujaa
 
Kuna maeneo haikwepeki hiyo sunbae. Imagine mtu anakaa banana anataka kwenda kariakoo halafu ni zile busy hours unadhani itatokea apate gari ambayo yaijajaa?
nitaangalia afya ya msichana mwenyewe kama atakuwa na udhaifu basi nitamsaidia lakini kama atakuwa amejazia kama faru khadija nitamuacha asimame.
ukitaka kujua umuhimu wa makalio simama ukiwa safarini.​
 
Mada inaanza vizuri inaisha vibaya, Mada imekaa kimbeya(Sio mbaya ni mwanamke).. Kibaya huandiki katika muundo wa ku narrate story yako ivutie!.. Pia andika kwa aya!
 
nitaangalia afya ya msichana mwenyewe kama atakuwa na udhaifu basi nitamsaidia lakini kama atakuwa amejazia kama faru khadija nitamuacha asimame.
ukitaka kujua umuhimu wa makalio simama ukiwa safarini.​
Haha umuhimu wake ni nini?
 
Wanaume bhana sasa kumpisha mwanamke kwenye siti ndo mwaona mnawahurumia sana wanawake mbona mkitoka shamba mnawabebesha mizigo yote na ukifika home unataka akupikie tena fasta kana kwamba yy hachoki.

Shida ni kwamba wanawake wa siku hizi hamna shukrani unaweza mfanyia kila kitu na bado akakuona fala tu,zamani kulikuwa hakuna haki sawa lkn atleast wanawake kipindi hicho walikuwa wanajua kuthamini na kutoa shukran pale wanapotendewa wema! Hii ndo sababu wengine wanaamua kuwa makauzu tu!
 
Mada inaanza vizuri inaisha vibaya, Mada imekaa kimbeya(Sio mbaya ni mwanamke).. Kibaya huandiki katika muundo wa ku narrate story yako ivutie!.. Pia andika kwa aya!
 
Mada inaanza vizuri inaisha vibaya, Mada imekaa kimbeya(Sio mbaya ni mwanamke).. Kibaya huandiki katika muundo wa ku narrate story yako ivutie!.. Pia andika kwa aya!
Sawa
 
Back
Top Bottom