D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
zamani nilikuwa na tabia ya kumpisha mwanamke kwenye siti haijalishi ni mdogo kama kirikou lakini siku hizi tabia hiyo nimeacha.
kwani haoni kama gari imeshajaaa?
Kuna maeneo haikwepeki hiyo sunbae. Imagine mtu anakaa banana anataka kwenda kariakoo halafu ni zile busy hours unadhani itatokea apate gari ambayo haijajaa?zamani nilikuwa na tabia ya kumpisha mwanamke kwenye siti haijalishi ni mdogo kama kirikou lakini siku hizi tabia hiyo nimeacha.
kwani haoni kama gari imeshajaaa?
Hujajibu swali
Nakuambia kuzaliwa mwanamke Afrika tayari wewe ni shujaaWanaume bhana sasa kumpisha mwanamke kwenye siti ndo mwaona mnawahurumia sana wanawake mbona mkitoka shamba mnawabebesha mizigo yote na ukifika home unataka akupikie tena fasta kana kwamba yy hachoki.
nitaangalia afya ya msichana mwenyewe kama atakuwa na udhaifu basi nitamsaidia lakini kama atakuwa amejazia kama faru khadija nitamuacha asimame.Kuna maeneo haikwepeki hiyo sunbae. Imagine mtu anakaa banana anataka kwenda kariakoo halafu ni zile busy hours unadhani itatokea apate gari ambayo yaijajaa?
harafu we jirani yangu kabisagomz
Kweli mkuuSijawahi kuleta stori ya kutunga
Haha umuhimu wake ni nini?nitaangalia afya ya msichana mwenyewe kama atakuwa na udhaifu basi nitamsaidia lakini kama atakuwa amejazia kama faru khadija nitamuacha asimame.
ukitaka kujua umuhimu wa makalio simama ukiwa safarini.
Wanaume bhana sasa kumpisha mwanamke kwenye siti ndo mwaona mnawahurumia sana wanawake mbona mkitoka shamba mnawabebesha mizigo yote na ukifika home unataka akupikie tena fasta kana kwamba yy hachoki.
Pisha huko kama huna cha kusema mbweha we ( hapo mwisho ni utani usije ukarusha ngumi)