Mkuu, why are you so bitter? Mimi najivunia sana kuwa mwanamke na sijawahi kujichukia na hayo unayosema usukumani wanafanya asilimia 80 ya wanawake hii Tanzania wanaishi kwenye hayo maisha ni vile tu hatujuani. Nikiwa naumwa tumbo la bleed siwezi kumpisha kwenye siti aisee la sivyo humo kwenye gari yatakuwa mengine