Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
NIKABAKI NAJIULIZA HIVI KWELI WANAUME HAWANA TENA UWEZO WA KUSIMAMIA KUCHA NA KUMRIDHISHA MWANAMKE BILA BUSTER YA AINA YOYOTE? HIVI UWEZO UMEPOTEA KIASI HICHO AMA NI NINI KINACHOTAFUTWA?
ukweli ni kuwa hao ni baadhi tu ya wale uliokutna nao..............lakini wako wanaongelea vipandisha midadi huku hata hawavihiaji kabisa...............kwa hiyo kauli siyo lazima ielezee ukweli wakati mwingine ni lugha za kusogeza muda..................wanaozidiwa na makulaji ni wachache na hao utawaona kwa kubeba na kujivunia vifriji...............................
yaani supu ya pweza huwa hailali saa tatu kwisha kumbe watu wana tumia dozi teh teh tehmkuu unaweza sema wachache, lakini si kweli, watu wanajazana kwenye vigenge vya pweza sio kwa minajili ya kula kwa hamu bali kama dawa, maana kuna wengine wao wanataka mchuzi tu
yaani supu ya pweza huwa hailali saa tatu kwisha kumbe watu wana tumia dozi teh teh teh
wakati uko na bakuli la tatu hapo?bebii hujambo
nimekumiss mbaya
mhhh huku niliko sijawahi sikia hiyo k itu hivi inasaidia nini
wakati uko na bakuli la tatu hapo?
ndo wapi huko?huku niliko nimeamka na kiporo cha ugali wa mtama na mchuzi wa dagaa wa kigoma na baadae kidogo tunarudia msosi wa mchana ni ugali wa mhogo na mchicha tena wa kuchemsha tuu na kipande cha samaki huku hakuna sijui chips mayai wala burger
ndo wapi huko?
dar kumbe uko shy nina shida na msukuma kweli aiseeshinyanga vijijini huku
sasa huku pweza atatoka wapi mpaka wamtoe dar akifika huku ashachacha
nyie huko mnakula mchicha wa bonde la mzimbazi wenye chemical kibao sisi tunalima mashambani mwetu na kumwagilia kwa maji ya kuchimba kwenye visima
vijana wenu huko wanakula chipsi mayai sisi huku ni ugali wa mhogo na mtama
dar kumbe uko shy nina shida na msukuma kweli aisee
mmhhh wana nguvu hao maugali daily ngoja kwanzaahhh sema tuu umempata wala usiwe na wasi wasi
taja vigezo unavyotaka maana huku wako wa kila aina
mmhhh wana nguvu hao maugali daily ngoja kwanza
<br />Tatizo ni kwamba, WANAWAKE uwezo wao umeshuka sana.<br />
Wanawake wa zamani walikuwa hawachukui muda kufika, lakini siku hizi wamekuwa Sugu sana hii ni kutokana na kushuka kwa maadili,<br />
Utamkuta mtoto wa kike ameanza na umri wa mikaka 12 sasa mpaka kufika umri wa mikaka 30 ufanye kazi ya ziada kumfikisha.<br />
<br />
Lazima ijulikane kuwa kazi ya kufika kilele ni kazi ya wote, sio wewe ubweteke umsubiri mwanaume akufikishe, <br />
Tafakari, Chukua Hatua.
kwani ni mimi? Mimi hayo mambo sijui nyie na waganga wenu maana yaani hiyo ni biashara kuu sasa kama vocha vile wateja wa kumwagasi ndio unamtaka sasa
au unataka sharobaro
mnatukataa mara mnasema hamtutaki tuna nguvu sana kuweni wawazi
<br />Ina maana kama huna hamu ya kitu si uachane nacho? Hadi uingie gharama ya appetizer sex ni kitu special sema watu washachakachua imekuwa ovyoooooooo; sasa mapenzi gani hayo? Mptuuu ovyoooo
<br />kwani kufika kileleni ndo aje kweli kuwa serias mimi sijawai nasikiaga tu. Kama wewe ni mwanaume utajuaje mwanamke wako kafika? Na kama wewe ni mwanamke utajuaje nimefika?
<br /><br /><br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Kwa sababu Wanawake wengi siku hizi wanaanza kuingiliwa Mapema na kuingiliwaingiliwa na Wanaume as a result Nyuchi zao zimeota sugu,zile sensory neurones hazi-sense tena kwa hiyo mpaka akojoe inabidi ifanyike kazi kweli kweli!!<br />
<br />
Hii inawaathiri wanaume wengi kisaikolojia ndiyo maana wanatafuta "Booster"!!
<br />Hakuna cha wanaume wala wanawake. Tatizo lipo ndio maana matangazo ya waganga yapo Mengi. Chanzo ni nini sasa? Jibu = mavyakula haya ya siku hizi ndio yanaharibu .. Tazama tofauti chini hapo.<br />
<b><br />
Zamani </b> <br />
> <font color="#0000cd">Mtu anatembea Kilomita 20-30 Bila kupumzika na wala hal <br />
> Asubuhi kabla ya kwenda kazini mtu anatandika ugali kwa maharagwe <br />
> Ukitoka kazini Unakuta Ugali mzito wa mihogo na mboga za majani au maziwa <br />
> Unga wa ugali haukukobolewa (DONA)<br />
> Mihogo inachemshwa hivyo hivyo au inaliwa mibichi<br />
<font color="#222222"><b><br />
Sikuhizi<br />
</b><font color="#0000cd">>Umbali wa nusu kilomita tu mtu anapanda daladala</font><br />
><font color="#0000cd">Asubuhi yai la kuku wa kisasa na kitumbua kimoja<br />
> Mtu akitoka kazini anapita baa, nusu kreti bia, nyama choma, mishkaki, barger, value, chipsi mayai ya kisasa etc<br />
</font></font></font><font color="#0000ff">> Unga wa sembe kila mara<br />
> Mihongo ya kukaanga mara kwa mara<br />
</font><font color="#0000cd"><font color="#222222"><br />
</font><br />
<font size="4"><b>KWA MANTIKI HII JE KWA NINI HAYO YALIYOZUNGUMZWA YASITOKEE??????????</b></font></font>
<br />Huu ujuzi umeupata wapi? The more loose it become the more utamu, ndio maana wanawake wanavyozaa utamu unaongezeka mara dufu, kwa msemo wako ina maana hata vichwa vya uume vinaota sugu kila mara kusuguliwa<br /><br />
<br />