Wanaume, utapata mke anaye reflect jinsi ulivyo

Wanaume, utapata mke anaye reflect jinsi ulivyo

Mi nafikiri kujilinganisha sana na watu wengine kunaweza kumpelekea mtu kukata tamaa, maendeleo ya kweli hupimwa kwa kuilingnisha jana na leo yako. Hakuna kanuni maalumu ya mafanikio.
 
Mi nafikiri kujilinganisha sana na watu wengine kunaweza kumpelekea mtu kukata tamaa, maendeleo ya kweli hupimwa kwa kuilingnisha jana na leo yako. Hakuna kanuni maalumu ya mafanikio.
Hakika

Kuishi kwa comparison ni jela ya kujitakia
 
Uzi ufungwe hapa..watu siku izi kila mtu anakuja na philosophy zake aisee.yani kila mtu siku izi ni motiveshino speeker.akishashiba ugali anaona sasa atoe ushauri kwa watu.
Tumechoka kusikia ushauri kila mtu afanye analoona ni sahihi kwake .
Kwanza hapa duniani ni mara yetu ya kwanza kuishi..
😁😁
 
Back
Top Bottom