Ofcourse kuna law ya opposites sawa nakubali. Ila tukumbuke we attract that which we are on the subconscious level.Wanaume vicheche wanaoa wanawake watulivu, ukikuta mwanamke mcharuko mumewe huwa ni mpole sana,
Ingekuwa hivyo unavyosema kesi za ndoa zisingekuwa nyingi, kicheche aoe malaya, mwanaume mkali aoe mwanamke mkali nyumba isingekalika
Ukweli ni kuwa watu hutaka kile ambacho hawana the universe never grants themUzi ufungwe hapa..watu siku izi kila mtu anakuja na philosophy zake aisee.yani kila mtu siku izi ni motiveshino speeker.akishashiba ugali anaona sasa atoe ushauri kwa watu.
Tumechoka kusikia ushauri kila mtu afanye analoona ni sahihi kwake .
Kwanza hapa duniani ni mara yetu ya kwanza kuishi..
Watu wanaoana vizuri halafu wanachukiana 😜Lazima ziwe ngumu maana mambo nayo yamekuwa so complicated
Mimi mtu anihudumie tu vizuri.So waliziba makucha yao before.
Inafikia kipindi maisha ya kuigiza huisha
Hoja zako huwa zina mapepe ndio maana matibabu lazima yaanzie kwenye personality yako bwasheeLeta hoja mezani sio personal tribulations😂
Shida zipi sasa? Nyoosha maelezo kama mwanaumeIn short ni kuwa wewe unashida zako binafsi hoja zangu huwa ziko soo direct. Watu badala ya kuleta hoja wanakuwa triggered.
Watajua wenyeweWewe unajua trauma wewe...
Kuna watu hawaishi vizuri bila ya kuruka ruka nje. Yaani anaona kama hajakamilika hivi.
Ni kweli ila as we know lazima kuna disconnect itatokea eventually...Ndiyo na hapana. Kauli hiyo ina chembe ya ukweli, lakini si sheria ya maisha.
Mara nyingi, tabia, maamuzi na viwango vya mtu huathiri aina ya mwenza anayemvutia au anayemkubali. Kwa mfano, mwanaume mwenye heshima, uwajibikaji na mawasiliano mazuri ana uwezekano mkubwa wa kujenga uhusiano mzuri na kupata mwenza mwenye sifa zinazofanana.
Hata hivyo, si kila wakati mke atakuwa "reflection" yako. Watu wanaweza kutofautiana sana katika tabia, malezi, malengo na changamoto za maisha. Mwanaume mzuri anaweza kuoa mwanamke mwenye mapungufu makubwa, na vivyo hivyo.
Mlango wa kuku attack ni wewe ulifungulia bila kujielewa kama umefungua na hapa utabisha kuwa haukufungua😆You're soo judgemental bwashee all you do is try put someone in a box they don't belong