wanawake!!!!!!sijui mna nini? Hivi mna nini?
Joseph ... usijidanganye, hakuna changamoto za ndoa zinazotatuliwa kwa 'kuchepuka'...na wala hakuna excuse yoyote inayoweza kujustify 'kuchepuka'. Ni ushenzi tu...hauna jina linguine! Kama kuna changamoto kwenye ndoa na unadhani huwezi zitatua, na unaona bora ukatafute 'penzi' kwengine..si uachane basi kwanza na huyo mumeo au mkeo uende kwa amani.
Huyo mama mjinga siyo mtaalamu wa kuchepuka si angefika kwao kwanza then akaendelea na mambo yake a
Lkn mungu amemuumbua akaolewe na huyo kama naye hajamuacha
Mwanangu hamu ilikuwa imemzidia! Chezea utamu Wa Msukuma Wewe!! Vijana Wa siku hizi mnashindia mno chips hamna nguvu ya kukabili mambo! Wacha mpigiwe! Mwanamke siyo nguo, magari au chakula! Nani alikwambia alifuata hivyo tu hapo kwako? Wacha mpigiwe!!
Sasa tamaa ya nini wakati mkuyati anao nyumbani?Mda mwingine tamaa hata ukamkojoza vo mdada mithili ya kuzimia bado atachepuka tu
tunawashwa
Ahaaaaa wanawake bana tatizo alafu hawatumii akili kwenye kuchepuka!!kuwakamata ni rahisi sana kama mengi alivyomshika madam rita
Na sisi tutawakuna tu bila kujali kama mna watu wenu au hamna.
Ndiyo mpaka mkuno uishe kikunio si lazima mkono wako bwana unaweza.omba mkono wa mwingine
Hii
imetokea juzi hapa mwanza, kuna mama mmoja mzuri sana wa sura (Mama G)
kaolewa na tajiri mmoja Dar. kapewa gari la kutembelea (Cruiser) na kila
kitu kwa kweli.
Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie
wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway
akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume
wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja
wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.
Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili
mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote
alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake)
Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!!
Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza,
Kwao hajafika.
Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji
nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa
busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado
hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili
kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao,
ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua
Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo
anapelekwa hosp. muda huu.
Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?
Hii imetokea juzi hapa mwanza, kuna mama mmoja mzuri sana wa sura (Mama G) kaolewa na tajiri mmoja Dar. kapewa gari la kutembelea (Cruiser) na kila kitu kwa kweli.
Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.
Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake) Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!! Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza, Kwao hajafika.
Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao, ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo anapelekwa hosp. muda huu.
Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?
hamna papuchi ya kwako peke yako. ukishakuwa na mentality hiyo huwezi pata shida