Wanaume tutalijibu hili siku ikifika . . .!!

Wanaume tutalijibu hili siku ikifika . . .!!

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,919
Kwa mujibu wa biblia,uumbwaji wa mwanamke haukuwa mpango wa Mungu at the first place
'
Aliekua mpango wa Mungu ni mwanaume ndo maana ndie aliekabidhiwa Eden(Mwa 2:15)
'
Mwanamke hakuumbwa kwaajili ya mpango wa Mungu bali kwaajili ya mwanaume(Mwa 2:18)
'
Makatazo na maelekezo ya namna ya kuishi Eden hakupewa mwanamke bali Mwanaume,kwani wakati makatazo hayo yanatolewa mwanamke hakuwepo(Mwa 2:16-17)
'
Hivyo makatazo na mamlaka ya kuishi Eden yalikabidhiwa kwa Mwanaume ayasimamie,kazi ya mwanamke ni kufuata maelezo ya Mwanaume tu
'
Hivi ndivyo ilivyo kwa kuwa uumbwaji wa mwanamke haukuwa kwaajili ya Mungu ila kwa ajili ya Mwanaume(Mwa 2:18)
'
Baada mwanamke kula tunda,haikuhesabika kosa kwa kuwa yeye hakuwa mhusika mkuu pale mpaka alipokula Mwanaume(Mwa 3:6)
'
Baada ya kukosa,Mungu aliposhuka Eden hakumuita mwanamke kwanza bali Mwanaume(Mwa 3:9)
'
Mungu alijua umuhimu wetu lakini sisi tulidharau,hii ni aibu,
'
Wanaume tulikabidhiwa bustani ya Eden tukashindwa kutii maagizo ya Mungu kwa ushawishi wa mwanamke,hii ni aibu
'
Na baada ya hapo Mungu alisema tutamtawala mwanamke,lakini leo tunatawaliwa,hii ni LAANA
'
Leo ni kama tumegeuka wanawake na tunashabikia wanawake kututawala,eti nafasi bungeni na serikalini ziwe sawa,hii ni LAANA
'
Iko siku tutajibu haya!!
 
Mfumo dume unatetewa kwa hoja ya nguvu.
 
Nimekubali huenda tukawa na kujibu.maana maagizo ya mungu yamepuuzwa.wanawake wenyewe hawawezi mpaka wawezeshwe kwaiyo uonapo mwanamke anaongoza ujue kuna mwanaume nyuma yake.
 
Kwa mujibu wa biblia,uumbwaji wa mwanamke haukuwa mpango wa Mungu at the first place
'
Aliekua mpango wa Mungu ni mwanaume ndo maana ndie aliekabidhiwa Eden(Mwa 2:15)
'
Mwanamke hakuumbwa kwaajili ya mpango wa Mungu bali kwaajili ya mwanaume(Mwa 2:18)
'
Makatazo na maelekezo ya namna ya kuishi Eden hakupewa mwanamke bali Mwanaume,kwani wakati makatazo hayo yanatolewa mwanamke hakuwepo(Mwa 2:16-17)
'
Hivyo makatazo na mamlaka ya kuishi Eden yalikabidhiwa kwa Mwanaume ayasimamie,kazi ya mwanamke ni kufuata maelezo ya Mwanaume tu
'
Hivi ndivyo ilivyo kwa kuwa uumbwaji wa mwanamke haukuwa kwaajili ya Mungu ila kwa ajili ya Mwanaume(Mwa 2:18)
'
Baada mwanamke kula tunda,haikuhesabika kosa kwa kuwa yeye hakuwa mhusika mkuu pale mpaka alipokula Mwanaume(Mwa 3:6)
'
Baada ya kukosa,Mungu aliposhuka Eden hakumuita mwanamke kwanza bali Mwanaume(Mwa 3:9)
'
Mungu alijua umuhimu wetu lakini sisi tulidharau,hii ni aibu,
'
Wanaume tulikabidhiwa bustani ya Eden tukashindwa kutii maagizo ya Mungu kwa ushawishi wa mwanamke,hii ni aibu
'
Na baada ya hapo Mungu alisema tutamtawala mwanamke,lakini leo tunatawaliwa,hii ni LAANA
'
Leo ni kama tumegeuka wanawake na tunashabikia wanawake kututawala,eti nafasi bungeni na serikalini ziwe sawa,hii ni LAANA
'
Iko siku tutajibu haya!!

What an analysis and truth! Tutahukumiwa kwa kuwachekea hawa kabisa...
 
Na Masiha akapigia mstari kwa kuchagua akina baba tu kuwa mitume. Unadhani alichemka?Kweli tuna la kujibu.
 
Nimekubali huenda tukawa na kujibu.maana maagizo ya mungu yamepuuzwa.wanawake wenyewe hawawezi mpaka wawezeshwe kwaiyo uonapo mwanamke anaongoza ujue kuna mwanaume nyuma yake.

Nimepapenda sana hapo!
 
Mungu ameumba jambo jipya mwanamke atamlinda mwanaume'' chezea dola wewe? Aliwahurumia akaona hamuwezi kuwa juu ya mwanamke,akili na miili yenu mmeshindwa kuvitawala ndo muwaweze wanawake? Na mtajibu kweli. Wamaume mmekuwa mdebwedo hata majukumu yenu mnayakimbia, acha tuwatawale.
 
Na Masiha akapigia mstari kwa kuchagua akina baba tu kuwa mitume. Unadhani alichemka?Kweli tuna la kujibu.

Halafu walikua hawahesabiwi nyakati hizo!
 
Mungu ameumba jambo jipya mwanamke atamlinda mwanaume'' chezea dola wewe? Aliwahurumia akaona hamuwezi kuwa juu ya mwanamke,akili na miili yenu mmeshindwa kuvitawala ndo muwaweze wanawake? Na mtajibu kweli. Wamaume mmekuwa mdebwedo hata majukumu yenu mnayakimbia, acha tuwatawale.

asante kwa kuwakilisha maoni yangu kwa njia ya utulivu na amani, mie nilishafura hapa ningeandika ningekula ban. Baelezee baelewe.
 
Mungu ameumba jambo jipya mwanamke atamlinda mwanaume'' chezea dola wewe? Aliwahurumia akaona hamuwezi kuwa juu ya mwanamke,akili na miili yenu mmeshindwa kuvitawala ndo muwaweze wanawake? Na mtajibu kweli. Wamaume mmekuwa mdebwedo hata majukumu yenu mnayakimbia, acha tuwatawale.

Mbona hueleweki?Red-Ni wapi Mungu amesema hayo?Bold-Kama umeshasema kwenye red kuwa tumehurumiwa iweje tena tuwe na majukumu?Wanawake kwa ukilaza!
 
asante kwa kuwakilisha maoni yangu kwa njia ya utulivu na amani, mie nilishafura hapa ningeandika ningekula ban. Baelezee baelewe.

Unafura kwa kuwa Mungu aliona ya kuwa ni vyema anitoe ubavu ili uumbwe wewe kwaajili yangu au unafura kwa kuwa huna sababu?
 
Na tuumbe MTU kwa mfano WETU.

Huyo alikua Adam,hivi kama Mwanaume ndo aliumbwa kwa mfano wa Mungu,mwanamke aliumbwa kwa mfano wa nani?
 
Did i lied?If yes show me where,and if i didn't what make you say that?

It's not a question of lying Eiyer, its the reasoning that I'm referring to! In particular these phrases:

"Na baada ya hapo Mungu alisema tutamtawala mwanamke, lakini leo tunatawaliwa, hii ni LAANA"

"Leo ni kama tumegeuka wanawake na tunashabikia wanawake kututawala, eti nafasi bungeni na serikalini ziwe sawa, hii ni LAANA - Iko siku tutajibu haya!!"
 
Last edited by a moderator:
Huyo alikua Adam,hivi kama Mwanaume ndo aliumbwa kwa mfano wa Mungu,mwanamke aliumbwa kwa mfano wa nani?

Hebu tuambie, kwahiyo mwanamke aliumbwa kwa mfano wa nani?
 
Mbona hueleweki?Red-Ni wapi Mungu amesema hayo?Bold-Kama umeshasema kwenye red kuwa tumehurumiwa iweje tena tuwe na majukumu?Wanawake kwa ukilaza!

Wale wa ukoo wenu ndio vilaza sie wengine walaaaaa!
 
Back
Top Bottom