Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,008
- 16,134
Uboyfurendi sijui nini tupa kule ... From my experience ... Wanaumee tu wakosaji sana kwa wenza wetu wa ndoa (siongelei uchumba ) NDOA ...
Si wa hivyo dingi ... Amini ... Wanaume sie ni vivuruge acha ... Wana tuvumilia makubwa sana kama upo kwenye taasisi yake ndoa ...hutorudi kuuliza ..wanaume sisi ni wakosefu sanaaaaa .... Kataa ukubali ... Mapito yako wayajua .. Na mkeo baadhi anayajua na AMEKUSAMEHE ...HESHIMU HILO ..Tumeshakuelewa,kuna nyavu unazitega hapa ili kuwanasa Wanawake.
Kama kicheche ..chenchede ... Wakupukuta... nimepita mote ... Nawajua vyedi ... Sina baya na manzi ... Kama sahani yake mama ntilie inaoshwa unakula ... Mzinzi hana wivu .. Nampenda mke wanguHujatujua vizuri ww,utaomba poo
Sasa kwa Nini unamkimbia mkeo unaempenda?!!Kama kicheche ..chenchede ... Wakupukuta... nimepita mote ... Nawajua vyedi ... Sina baya na manzi ... Kama sahani yake mama ntilie inaoshwa unakula ... Mzinzi hana wivu .. Nampenda mke wangu
Ulimuambia hapaHujatujua vizuri ww,utaomba poo
Mwaka mmoja baadae yakakukutaUboyfurendi sijui nini tupa kule ... From my experience ... Wanaumee tu wakosaji sana kwa wenza wetu wa ndoa (siongelei uchumba ) NDOA ...