chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Jamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.
Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.
Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k
Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.
Mfano kwa nini tunarogwa sana?!
Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi
Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.
Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.
Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k
Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.
Mfano kwa nini tunarogwa sana?!
Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi
Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.