Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Anaumwa nini jaman huyu kijanašHuyu ni mgonjwa niulize mimi dokta najua![]()
Anaumwa nini jaman huyu kijanašHuyu ni mgonjwa niulize mimi dokta najua![]()
šAnaumwa nini jaman huyu kijanaš
Wanarogaga kabisa kabisa. Unajua wanaume bidhaa hadimu sana.Ila ukiwa kwa Yesu mambo ni matamu aisee.Hakunaga risks za kijinga kama hizoJamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.
Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.
Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k
Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.
Mfano kwa nini tunarogwa sana?!
Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi
Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.
Basi itakua nimechezewa sio bure kuna boya mmoja najikuta naropoka jina lake bila kutegemea, hii genderJamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.
Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.
Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k
Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.
Mfano kwa nini tunarogwa sana?!
Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi
Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.

Karogwa. Halafu aliyemchawia kafaAnaumwa nini jaman huyu kijana![]()

ššš i can see, msaidie basi pls nitalipia gharama ili kijana asipoteeKarogwa.. Halafu aliyemchawia kafa![]()


Your wish is my command. imepita iyoi can see, msaidie basi pls nitalipia gharama ili kijana asipotee
Yapo sana tu. Kuna wadada wanaroga ili wapate mabwana wenye pesa.Mambo ya kulogana kisa mapenzi bado yapo kumbe
Shida dawa zikiisha kuanza kuhangaika tena kwa waganga. Shida zote hizo za nini sasa daahYapo sana tu. Kuna wadada wanaroga ili wapate mabwana wenye pesa.
wakisema wasipingwe. Wakiomba hela wasikataliwe..
this world is not as we see it
WeweeHako ka lenie aisee ni kiboko kana mizimu ikipanda inaomba hadi kitimoto ikimaliza inaomba na maji Kisha inamalizia na ubuyu huku ikitema mbegu..š¤£
NaamWewee