Wanaume tunarogwa sana na wanawake

Wanaume tunarogwa sana na wanawake

Kwa kweliiiii mrogweeee tu....... Maana mnachezaaaa sana na akili zetu...
 
Jamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.

Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.

Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k

Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.

Mfano kwa nini tunarogwa sana?!

Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi

Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.
Wanarogaga kabisa kabisa. Unajua wanaume bidhaa hadimu sana.Ila ukiwa kwa Yesu mambo ni matamu aisee.Hakunaga risks za kijinga kama hizo
 
Jamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.

Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.

Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k

Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.

Mfano kwa nini tunarogwa sana?!

Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi

Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.
Basi itakua nimechezewa sio bure kuna boya mmoja najikuta naropoka jina lake bila kutegemea, hii gender
 
Nakumbuka way back home tulipangisha wadada wengi wengi walioolewa story zao nyingi zilikua waganga tu
 
Karogwa.. Halafu aliyemchawia kafa
emoji2.png
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ i can see, msaidie basi pls nitalipia gharama ili kijana asipotee
 
Mambo ya kulogana kisa mapenzi bado yapo kumbe
Yapo sana tu. Kuna wadada wanaroga ili wapate mabwana wenye pesa.

wakisema wasipingwe. Wakiomba hela wasikataliwe..

this world is not as we see it
 
Yapo sana tu. Kuna wadada wanaroga ili wapate mabwana wenye pesa.

wakisema wasipingwe. Wakiomba hela wasikataliwe..

this world is not as we see it
Shida dawa zikiisha kuanza kuhangaika tena kwa waganga. Shida zote hizo za nini sasa daah
 
Hako ka lenie aisee ni kiboko kana mizimu ikipanda inaomba hadi kitimoto ikimaliza inaomba na maji Kisha inamalizia na ubuyu huku ikitema mbegu..🤣
Wewee
 
Mimi kuna binti nahisi kaniroga kabisa make sielewi elewi hisia zangu kwake ani.
 
Back
Top Bottom