Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,737
- 5,462
Pole sana. Hata mimi nilivaa suti kwa mara ya kwanza wakati nafunga ndoa.Sijawahi kuvaa suti maishani mwangu, natarajia kufunga ndoa sijui itakuaje
Pole sana. Hata mimi nilivaa suti kwa mara ya kwanza wakati nafunga ndoa.Sijawahi kuvaa suti maishani mwangu, natarajia kufunga ndoa sijui itakuaje
Sio TanzaniaUlisoma wapi baby
Yangu huipendi!!!!Yaani napenda mwanaume kwenye suti ila aaizidishe uvaaji wa suti kama Idriss Sultan...
Japo wengi wanavaa kisaniiBlack au dark blue.
Laki moja na gamsini elfuWadau minafunga ndoa soon nimeplan kuvaa suti ya dark blue, wanaojua bei na pia ushauri wa rangi nyingine labda.. pia muda wa kuipata hiyo suti na pia ya msimamizi maana nagharamia zote. Bei wastani
Mkuu umemaliza suits zanguSuit Basics
Rangi ya Charcoal Grey:
Kama una suti moja tu, hii rangi ina fit occasions nyingi. Not too loud, not too dull. Ni rangi ya kiutu uzima.
View attachment 511205
Rangi ya Navy Blue:
Kama charcoal grey, inakufanya u-fit in rather than stand out.
View attachment 511207
Rangi nyeusi.
Third choice kwa sababu kwenye hafla nyingi, hutumika kama uniform kwa hiyo be careful usifanane na walinzi au wahudumu. Inafaa kwenye misiba kuonyesha kuwa uko pamoja.
View attachment 511209
Koti lisikupwaye na lisikubane, uweze kukaa comfortably.
Fungua vifungo unapokaa. Vuta mikono inapobidi.
Hakikisha collar haiendi nyuma, vuta mbele kwa ku-adjust eneo karibu na diaphragm.
Suruali isikubane , lakini kama msuli wa paja upo, uonyeshe (siyo vibaya, huvutia).
Isionyeshe makalio, isiwe kata-k.
Hakikisha unaweza kuchuchumaa comfortably ndani ya suruali.
Isionyeshe mashine ukisisimka lakini isipwaye mbele. Make sure unaweza ku-dance comfortably.
Urefu mpaka chini kidogo ya mfupa wa ankle wa pembeni.
ISIWE BWANGA, ISIWE NA CELEBRATIONS.
Viatu vyeusi au brown. I prefer zipped boots. Ila vyovyote vile ni choice ya mtu.
Naomba ushauri. Mimi rangi yangu ni mweusi hii rangi inanifaa ??Navy Blue is very elegant.
Naomba ushauri. Mimi rangi yangu ni mweusi hii rangi inanifaa ??
Hili la aqua blue...mbona ndio suit inayotrend ktk fashion kwa sasa...unajua wanaume wa sasa ni tofauti na zamani..wameanza kupenda nguo zenye crazy colours kama wanawake kwa hiyo kinachoangaliwa kwa sasa sii rangi tena but ni ile smatnes na unaivaa kwa jambo gani au kwa tukio gani na je? Imeshonwa slim fitted suit au nsio bwanga....suit ikiwa fitted one inapendeza na inamvutia kila mtu machoni hata kama itakuwa ni crazy colour...Kuna lecturer mmoja alikua anavaa suti rangu za kike yaani tulikua tunachekaaa! Atakuja kavaa aqua blue, mara orange, pink...
Mmmh! Kwangu kuna rangi za suti akivaa mwanaume simuelewi kabisaaa! Napenda mwanaume avae dark colors, zile basic... Black, dark blue, grey na white.Hili la aqua blue...mbona ndio suit inayotrend ktk fashion kwa sasa...unajua wanaume wa sasa ni tofauti na zamani..wameanza kupenda nguo zenye crazy colours kama wanawake kwa hiyo kinachoangaliwa kwa sasa sii rangi tena but ni ile smatnes na unaivaa kwa jambo gani au kwa tukio gani na je? Imeshonwa slim fitted suit au nsio bwanga....suit ikiwa fitted one inapendeza na inamvutia kila mtu machoni hata kama itakuwa ni crazy colour...
jibu swali hujaulizwa Tanzania au nje. wabongo banaSio Tanzania
Sitaki kujibujibu swali hujaulizwa Tanzania au nje. wabongo bana
My sister upo? Missed u sana.
Mkuu kitambo sana weweBinafsi nadhani inakufaa. Valia na shati jeupe ama light blue. Sijui ndio nagoma kuzeeka, I think suti bila tai inakuwa poa zaidi. Usisahau killer leather shoes, Brown especially so that everyone would notice
Mkuu kitambo sana wewe
Dunia hii sio njema sana, rambirambi zinaliwa sana mkuuNipo mkuu. Nastua adrenaline hapa na suti.
Habari za dunia Hii?
Uko sawa lakini itategemea na shughuli yenyewe unayoivalia suit..mfano kama ni harusi..hizo colour ni common sana na wala haziwezi kudraw attention ya watu...unaweza kuvaa black ktk harusi yako, ukajikuta umevaa sawa na wanakamati wako maana asilimia kubwa ya watu wanakimbilia black suit sababu kubwa ikiwa ni kuwa huru na kuonekana rasmi tuu kama mtu aliyevaa suit lakini haikuletei usumbuf wa watu kukutupia macho mara kwa mara na mara nyingine watu wanaogopa kuvaa rangi zinazovuta macho ya watu coz wanaogopa kuambiwa wamepania sherehe za watu...Mmmh! Kwangu kuna rangi za suti akivaa mwanaume simuelewi kabisaaa! Napenda mwanaume avae dark colors, zile basic... Black, dark blue, grey na white.
Na ile ya ugoro sijui ndo brown...
Ni kweli!!Uko sawa lakini itategemea na shughuli yenyewe unayoivalia suit..mfano kama ni harusi..hizo colour ni common sana na wala haziwezi kudraw attention ya watu...unaweza kuvaa black ktk harusi yako, ukajikuta umevaa sawa na wanakamati wako maana asilimia kubwa ya watu wanakimbilia black suit sababu kubwa ikiwa ni kuwa huru na kuonekana rasmi tuu kama mtu aliyevaa suit lakini haikuletei usumbuf wa watu kukutupia macho mara kwa mara na mara nyingine watu wanaogopa kuvaa rangi zinazovuta macho ya watu coz wanaogopa kuambiwa wamepania sherehe za watu...
.
.
Lakini kama ww ni bwana harusi unatakiwa uangalie rangi ambazo hata mkiwa na mpambe wako mtakuwa mmevaa tofauti angalau kidogo na waalikwa...