King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hujakutana na mtu amevaa suti ina rangi ya chama cha wanaokula rambirambi. Halafu kawekea na shati la njano. Lazima ukae.
Kuna lecturer mmoja alikua anavaa suti rangu za kike yaani tulikua tunachekaaa! Atakuja kavaa aqua blue, mara orange, pink...