Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Hi,
Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje?
Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe ni loyal, kama wewe ni mwaminifu halafu mkeo akakucheat hapo una haki ya kulalamika, sasa wewe mwenyewe una michepuko 50, mkeo akitongozwa tu au akiwa na mchepuko Mmoja tu unakasirika unataka kuua mtu.
Wanaume tujirekebishe, kama wewe unachepuka na mkeo akichepuka kaa kwa kutulia, ila kama wewe hujawahi msaliti mkeo, ila mkeo anakusaliti, hapo sawa una haki ya kukasirika na unaeza nunua gunia la mkaa.
Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje?
Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe ni loyal, kama wewe ni mwaminifu halafu mkeo akakucheat hapo una haki ya kulalamika, sasa wewe mwenyewe una michepuko 50, mkeo akitongozwa tu au akiwa na mchepuko Mmoja tu unakasirika unataka kuua mtu.
Wanaume tujirekebishe, kama wewe unachepuka na mkeo akichepuka kaa kwa kutulia, ila kama wewe hujawahi msaliti mkeo, ila mkeo anakusaliti, hapo sawa una haki ya kukasirika na unaeza nunua gunia la mkaa.