Wanaume tuna Kazi Mweeeeee


Ni kweli mkuu na huenda ni wale vijana wa sijui kampuni ya Kisusi Mohd marketing Company ambao wanauza bidhaa huku wameripuka hasa, sasa hapo alimsemesha demu akamzingua na jamaa akawa serious ghafla
 
Ila ametulia maana raha ya mpenzi watu wakuonee wivu kwa jinsi alivyoumbika
 
Viatu vizuri hivyo,lol
kaka anajua akitakacho maishani. Hiyo mpododo ukiwa umebeba mizigo mtikisiko unakuwa sio sawa. Raha yake uwe free hivyo, mkifika home udenda umeshakauka. Naiwazia tu wallet ya kaka wa watu hehehehe.

Tamaa hiyo, mie nishakula mahari yangu. Usitake nitemeshwe bure, ukiachika utalipa mwenyewe............LOL
 
............napata harufu ya ushuzi....naona hajapaosha vizuri.
 
Mmmh, mshua nilikuwa namuonea huruma baba wa watu kuchunwa. Mbona mie mkweo simchuni hata kiduchu?
Tamaa hiyo, mie nishakula mahari yangu. Usitake nitemeshwe bure, ukiachika utalipa mwenyewe............LOL
 
mtani wangu platozoom unaona hasira zako zinavokukosesha mambo?

Kama mambo yenyewe ndiyo haya ya kubebeshwa viroba hamnipati......kesho mtatubebesha mifuko ya sementi halafu mwataka game la kufa mtu...............msosi wenyewe chipsi yai
 

angekua amebeba handbag ningekubali theory yako.
jamaa ni dereva wangu na huyo wa mbele ndo mke wangu
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1351491714.216559.jpg
    11 KB · Views: 93
Ila mungu huyu! sasa akina yakhe wenye viubapa na vigoko alituumba akiwa kachoka au alimtuma malaika atuumbe?
 

Kuhusu kubeba hiyo mizigo hakika with me no problem at all - ni moja ya namna ya kuonesha upendo kama mmoja wa wachangiaji alivyosema hapo juu. Lakini mbona dada anatabasamu zuuuuri wakati kaka hana tabasamu usoni. Unafikiri anawaza nini? ..... wallet yake ha haa haa
 
ingawaje sura yake ni kama ya bibi yake vile ila shape ipoo,ndo maana mjomba kakolea,aaf angalia alivyokuwa mchokozi alichokifanya kifuani,atakuwa anaweza sana huyu
 
she is cute..ningebeba tu hiyo mizigo na mlango wa gari ningekuwa namfungulia
 
Mi huyu ningembeba mgongoni pamoja na hiyo mizigo, nikimfumania na mtu naachia kilio tu afu namuomba anisamehe asiniache...
 



Nyie mnaongea kama watoto bana...!!! mie hata gunia nabeba mbele ya hilo t.a.ko.... ila malipo yake ka ni mke wangu najua mwenyewe....!!! Kubeba hivyo vijikapu vinawasumbua.... mkikua mtajua nasema nn...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…