Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,600
Nakazia tu Buzitata halichunwi hata kwa limbwata la kitanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwanini?Cute b kumbe na wewe ni mwanaume kama mimi tumfukuzie basi huyo ili tumfumue marinda
Unamuduje vile ile mifupa yao dah kama vile umelalia vipingili vyamawe.
Bidhaa muhimu ni IPI?
Eh ndio maana katutaja tumsadie kumfumua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwanini?
Amesema anataka kwani?
Basi sawa sisi ambao hatuna reception kimyaaaaaa!!!Kichwani kwanza, then reception, then portability.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo umeamka kachokozi chokozi sana.Eh ndio maana katutaja tumsadie kumfumua
Wala niko kawaida mwaya cute b wetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo umeamka kachokozi chokozi sana.
Naelewa wale wasio wanene sana wala wembamba sana saizi yakati wasio warefu sana wala wafupi sana .Wewe ni Ke huwezi kuelewa, nimekuambia sio vimodo sana
Tena "bangi" iliyochemshwa kwenye gongo , kitu cha mshemsho!!Unapata Mtoto Mzuri, mrembo ana elimu yake nzuri, anajiheshimu, ana kazi nzuri na pesa anazo. Wewe hutaki unataka tako! kama sio bangi ni nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Asilimia kubwa ya watu wenye hivi vikauli huwa wana intrapersonal conflicts[emoji3][emoji3][emoji3]Acheni presha watu jf kuweni kama mimi sina presha tena sababu ni hii i am living my life and life is to short
Sawa katoto kadhuliiiiiiiiWala niko kawaida mwaya cute b wetu