Wanaume tukutane hapa kuna kikao cha dharula

Wanaume tukutane hapa kuna kikao cha dharula

Ila izi perspective zakulinganisha tacore kama kitu chakumfanya a man akuthamini ni iko misplaced kabisa binafsi i fck the brains i know beauty fades apo ndo kesi huanza.
Acheni presha watu jf kuweni kama mimi sina presha tena sababu ni hii i am living my life and life is to short
 
*Unapata Mtoto Mzuri, mrembo ana elimu yake nzuri, anajiheshimu, ana kazi nzuri na pesa anazo. Wewe hutaki unataka tako! kama sio bangi ni nini?*😂😂😂😂🏃🏃
afadhari ingekua bangi, vijana wa siku hizi wanasokota matembele bangi bei ghali
 
Back
Top Bottom