Wanaume tukutane hapa kuna kikao cha dharula

Wanaume tukutane hapa kuna kikao cha dharula

buzitata

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2017
Posts
2,370
Reaction score
7,899
Unapata Mtoto Mzuri, mrembo ana elimu yake nzuri, anajiheshimu, ana kazi nzuri na pesa anazo. Wewe hutaki unataka tako! kama sio bangi ni nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
 
Kwan hawez kuwa na vigezo ulivyotaja na tako pia akawa nalo? Au mwenye tako lazma awe mbumbumbu...
Binafs nataka mwenye vigezo ulivytaja plus tako inye birian vyooote awe navyo
 
*Unapata Mtoto Mzuri, mrembo ana elimu yake nzuri, anajiheshimu, ana kazi nzuri na pesa anazo. Wewe hutaki unataka tako! kama sio bangi ni nini?*😂😂😂😂🏃🏃
True umeongea kweli ukweli wakutoka moyoni
 
tako ndo habari ya mjini....vingine nyongeza
 
Mimi ninayo tako ila sio kubwa kama basi halafu hivyo ni siri yangu
Ila izi perspective zakulinganisha tacore kama kitu chakumfanya a man akuthamini ni iko misplaced kabisa binafsi i fck the brains i know beauty fades apo ndo kesi huanza.
 
Back
Top Bottom