MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Habarini za usiku humu ndani bila shaka mko vizuri.
Kumekuwa na malalamiko mengi humu ndani kutoka kwenu wanaume, sijui niziite lawama ama nini hata sielewi lakini hamuishi kutuongelea, ati wanawake tunalazimisha kuolewa huku mkijua fika kuwa mwanamke na kuolewa ni muhimu.
Sasa jamani hamtaki tuolewe ama? maana tusipoolewa pia hamtokosa neno la kutuambia (binadamu haishiwi maneno).
Wakati mwingine unakuta mwanaume umri umekwenda kweli kweli, hapo kasugua gaga kupata walau mpenzi ajenge naye mahusiano baadae ndoa, lakini naye pia analalama ati mwanamke anawaza kuolewa mwezi mmoja tu wa mahusiano anaulizia ndoa, wakati hapo alitakiwa ashukuru mungu kakutana na mwanamke mwenye kutaka kuolewa naye anaacha kushukuru Mungu kamwonesha nyota njema asubuh yeye anashangaa kwani kuolewa ni jambo la ajabu? Eti nauliza jamni mbona kama kututupia lawama zisizokuwa na mashiko???
Hili suala la kuharakisha kuolewa sio kwetu tu hata nyie wanaume mnaharaka sana ya kuoa lakini hapa mnaficha uhalisia, wapo wanaume katoka huko ana stress zake sijui anakutongoza kwa gia ya kutaka kuoa mbona hatuwaongelei hapa? mwingne mko kwenye mahusiano miezi mitatu ati anataka akajitambulishe kwenu wakati hata wewe mwenyewe hujamjua vizuri bado... watu kama hawa sijui wanawaza nini vichwani mwao.
NB: Mtuache jamani kama mtu aliset goal aolewe ni lazima liachieve, tafadhali wanaume msiwaharibie watu mipango yao.
Kumekuwa na malalamiko mengi humu ndani kutoka kwenu wanaume, sijui niziite lawama ama nini hata sielewi lakini hamuishi kutuongelea, ati wanawake tunalazimisha kuolewa huku mkijua fika kuwa mwanamke na kuolewa ni muhimu.
Sasa jamani hamtaki tuolewe ama? maana tusipoolewa pia hamtokosa neno la kutuambia (binadamu haishiwi maneno).
Wakati mwingine unakuta mwanaume umri umekwenda kweli kweli, hapo kasugua gaga kupata walau mpenzi ajenge naye mahusiano baadae ndoa, lakini naye pia analalama ati mwanamke anawaza kuolewa mwezi mmoja tu wa mahusiano anaulizia ndoa, wakati hapo alitakiwa ashukuru mungu kakutana na mwanamke mwenye kutaka kuolewa naye anaacha kushukuru Mungu kamwonesha nyota njema asubuh yeye anashangaa kwani kuolewa ni jambo la ajabu? Eti nauliza jamni mbona kama kututupia lawama zisizokuwa na mashiko???
Hili suala la kuharakisha kuolewa sio kwetu tu hata nyie wanaume mnaharaka sana ya kuoa lakini hapa mnaficha uhalisia, wapo wanaume katoka huko ana stress zake sijui anakutongoza kwa gia ya kutaka kuoa mbona hatuwaongelei hapa? mwingne mko kwenye mahusiano miezi mitatu ati anataka akajitambulishe kwenu wakati hata wewe mwenyewe hujamjua vizuri bado... watu kama hawa sijui wanawaza nini vichwani mwao.
NB: Mtuache jamani kama mtu aliset goal aolewe ni lazima liachieve, tafadhali wanaume msiwaharibie watu mipango yao.