Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

MankaM

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
9,448
Reaction score
3,070
Habarini za usiku humu ndani bila shaka mko vizuri.

Kumekuwa na malalamiko mengi humu ndani kutoka kwenu wanaume, sijui niziite lawama ama nini hata sielewi lakini hamuishi kutuongelea, ati wanawake tunalazimisha kuolewa huku mkijua fika kuwa mwanamke na kuolewa ni muhimu.

Sasa jamani hamtaki tuolewe ama? maana tusipoolewa pia hamtokosa neno la kutuambia (binadamu haishiwi maneno).

Wakati mwingine unakuta mwanaume umri umekwenda kweli kweli, hapo kasugua gaga kupata walau mpenzi ajenge naye mahusiano baadae ndoa, lakini naye pia analalama ati mwanamke anawaza kuolewa mwezi mmoja tu wa mahusiano anaulizia ndoa, wakati hapo alitakiwa ashukuru mungu kakutana na mwanamke mwenye kutaka kuolewa naye anaacha kushukuru Mungu kamwonesha nyota njema asubuh yeye anashangaa kwani kuolewa ni jambo la ajabu? Eti nauliza jamni mbona kama kututupia lawama zisizokuwa na mashiko???

Hili suala la kuharakisha kuolewa sio kwetu tu hata nyie wanaume mnaharaka sana ya kuoa lakini hapa mnaficha uhalisia, wapo wanaume katoka huko ana stress zake sijui anakutongoza kwa gia ya kutaka kuoa mbona hatuwaongelei hapa? mwingne mko kwenye mahusiano miezi mitatu ati anataka akajitambulishe kwenu wakati hata wewe mwenyewe hujamjua vizuri bado... watu kama hawa sijui wanawaza nini vichwani mwao.

NB: Mtuache jamani kama mtu aliset goal aolewe ni lazima liachieve, tafadhali wanaume msiwaharibie watu mipango yao.
 
Haya tumesikia,asante kwa ujumbe tutaufanyia kazi
 
Mwanamke ukiulizia ndoa ni sheeeda..ile yeye ahh hakosei hata kama anakutania...wengi tu wanajijua ndio zao anaropoka ndoa oh i want to settle oh i've finally met my wife nk hata mwezi haujaisha si utulie kdogo tufahamiane jmn heh uko fastaaa unajuaje utaniweza?,ila kwa kuwa ye mwanaume poa sana kosa useme mwanamke....
Trust me i tell you kwa tabia za kiume zilivyo sisi ndo tungekuwa tunawa-approach na kutaka ndoa hakuna ambae angechomoa...
Mtuacheeee wengine we re not marriage desperate kutujaza habari za uongo za ndoa hatutaki.kama ipo acha time will tell usichoshe mtu na fake promises
 
hii habari ya kuoa wake wengi inabidi bunge la katiba iwekwe na iwe haki ya halali,ya msingi na ya lazima.Ili ku accomodate walio kata tamaa.
 
hii habari ya kuoa wake wengi inabidi bunge la katiba iwekwe na iwe haki ya halali,ya msingi na ya lazima.Ili ku accomodate walio kata tamaa.

hakuna mwanamke alokata tama kuolewa ni vile tu hajampata muafaka wake
 
Habarin za usiku humu ndani bila shaka mko vizuri.......

Kumekuwa na malalamiko mengi humu ndani kutoka kwenu wanaume, sijui niziite lawama ama nini hata sielewi lakini hamuishi kutuongelea, ati wanawake tunalazimisha kuolewa huku mkijua fika kuwa mwanamke na kuolewa ni muhimu.......
Sasa jaman hamtaki tuolewe ama? maana tusipoolewa pia hamtokosa neno la kutuambia (binadamu haishiwi maneno).

Wakati mwingine unakuta mwanaume umri umekwenda kweli kweli, hapo kasugua gaga kupata walau mpenzi ajenge naye mahusiano baadae ndoa, lakini naye pia analalama ati mwanamke anawaza kuolewa mwezi mmoja tu wa mahusiano anaulizia ndoa, wakati hapo alitakiwa ashukuru mungu kakutana na mwanamke mwenye kutaka kuolewa naye anaacha kushukuru mungu kamwonesha nyota njema asubuh yeye anashangaa kwani kuolewa ni jambo la ajabu? eti nauliza jamni mbona kama kututupia lawama zisizokuwa na mashiko???

Hili suala la kuharakisha kuolewa sio kwetu tu hata nyie wanaume mnaharaka sana ya kuoa lakini hapa mnaficha uhalisia, wapo wanaume katoka huko ana stress zake sijui anakutongoza kwa gia ya kutaka kuoa mbona hatuwaongelei hapa? mwingne mko kwenye mahusiano miezi mitatu ati anataka akajitambulishe kwenu wakati hata wewe mwenyewe hujamjua vizuri bado... watu kama hawa sijui wanawaza nini vichwani mwao.............................

NB: Mtuache jaman kama mtu aliset goal aolewe ni lazima liachieve, tafadhali wanaume msiwaharibie watu mipango yao, looo but sio kwangu mimi nipo nipo sana....................

Tutawaachaje wakati ninyi mnavaa vinguo vya ajabu ili mtutie katika vishawishi hebu vaeni kama wale wanawake wanaoigiza tamthilia za kikolea na japana eg Jumong muone kama papuchi zenu hazitooza.
Hafu kitu kingine tukiacha kuwaongelesha huko mitaani mnaanza kulalamika au hafu wengi wenu mmewekwa nyumba ndogo hivyo kueni wapole
 
hmmm hii sasa dah...anywei wacha nikae kimya

Kuanzia sasa sitaki missing wala nakuota mpaka nitangaziwe ndoa.. Vin Diesel
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke ukiulizia ndoa ni sheeeda..ile yeye ahh hakosei hata kama anakutania...wengi tu wanajijua ndio zao anaropoka ndoa oh i want to settle oh i've finally met my wife nk hata mwezi haujaisha si utulie kdogo tufahamiane jmn heh uko fastaaa unajuaje utaniweza?,ila kwa kuwa ye mwanaume poa sana kosa useme mwanamke....
Trust me i tell you kwa tabia za kiume zilivyo sisi ndo tungekuwa tunawa-approach na kutaka ndoa hakuna ambae angechomoa...
Mtuacheeee wengine we re not marriage desperate kutujaza habari za uongo za ndoa hatutaki.kama ipo acha time will tell usichoshe mtu na fake promises

Ah...!
 
Mwanamke ukiulizia ndoa ni sheeeda..ile yeye ahh hakosei hata kama anakutania...wengi tu wanajijua ndio zao anaropoka ndoa oh i want to settle oh i've finally met my wife nk hata mwezi haujaisha si utulie kdogo tufahamiane jmn heh uko fastaaa unajuaje utaniweza?,ila kwa kuwa ye mwanaume poa sana kosa useme mwanamke....
Trust me i tell you kwa tabia za kiume zilivyo sisi ndo tungekuwa tunawa-approach na kutaka ndoa hakuna ambae angechomoa...
Mtuacheeee wengine we re not marriage desperate kutujaza habari za uongo za ndoa hatutaki.kama ipo acha time will tell usichoshe mtu na fake promises

Wekeni makufuli hizo papuchi zenu muone kama mtasumbuliwa. Ninyi wenyewe mnavaa vinguo vya ajabu ili mtongozwe wewd hapo siku usipotongozwa tu unaugua kwa mawazo.
 
Mwanamke ukiulizia ndoa ni sheeeda..ile yeye ahh hakosei hata kama anakutania...wengi tu wanajijua ndio zao anaropoka ndoa oh i want to settle oh i've finally met my wife nk hata mwezi haujaisha si utulie kdogo tufahamiane jmn heh uko fastaaa unajuaje utaniweza?,ila kwa kuwa ye mwanaume poa sana kosa useme mwanamke....
Trust me i tell you kwa tabia za kiume zilivyo sisi ndo tungekuwa tunawa-approach na kutaka ndoa hakuna ambae angechomoa...
Mtuacheeee wengine we re not marriage desperate kutujaza habari za uongo za ndoa hatutaki.kama ipo acha time will tell usichoshe mtu na fake promises

Umeshapewa ahadi ya kuolewa na bf wako hata mmoja?
 
Mwanamke ukiulizia ndoa ni sheeeda..ile yeye ahh hakosei hata kama anakutania...wengi tu wanajijua ndio zao anaropoka ndoa oh i want to settle oh i've finally met my wife nk hata mwezi haujaisha si utulie kdogo tufahamiane jmn heh uko fastaaa unajuaje utaniweza?,ila kwa kuwa ye mwanaume poa sana kosa useme mwanamke....
Trust me i tell you kwa tabia za kiume zilivyo sisi ndo tungekuwa tunawa-approach na kutaka ndoa hakuna ambae angechomoa...
Mtuacheeee wengine we re not marriage desperate kutujaza habari za uongo za ndoa hatutaki.kama ipo acha time will tell usichoshe mtu na fake promises

kuna wengine humu hawajafikia umri wa kuoa lakini wamekazana eti tunawasumbua kwa kutaka kuolewa jaman hivi nyie ?????????? aggghhh mnatakiwa maombi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom