Wanaume tuache hii- inaharibu Ndoa Zetu

Status
Not open for further replies.
nimejiuliza lakini nafikiri you have a very big problem, please tell me, ..........probably, i can help some solution, you will never know...., tell e dont wory!!

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nicheke kwa afya yangu mie yasije nikuta yale ya nguli bure!!!
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nicheke kwa afya yangu mie yasije nikuta yale ya nguli bure!!!


hahahahaaaaaaaaaaa thanks. si unaona tukicheka tunapata afya???????? sasa wewe ulianza kunikunjia ndita, sio vizuri hivyo mpendwa,

enjoy your weekend na usisite kucheka ukisikia kicheko kinakuja na kila iwezekanapo cheka loudly
 
Nipo poa bibie si unajua tena leo friday ni kujinafasi kwa kwenda mbele!! maana hizi kazi haziishi!!

raha jipe mwenyewe Kimey wangu ukisubiri mpaka mi nije nikupe unachelewa!!!!
 
raha jipe mwenyewe Kimey wangu ukisubiri mpaka mi nije nikupe unachelewa!!!!
ha ha ha kweli kabsaa mpendwa ila shida ni kujichanganya na watu tofauti ni tabu sana...ila mambo yakikolea mbona hata kilugha chao nalonga tuu teh teh teh
 
ha ha ha kweli kabsaa mpendwa ila shida ni kujichanganya na watu tofauti ni tabu sana...ila mambo yakikolea mbona hata kilugha chao nalonga tuu teh teh teh

eventually hayo mbona mbo rahisi especially kwa mtu kama wewe ten aitakuwa fasta!!!!
 
ahaaaaaaaa inafuraisha nakumbuka niliwai kuangalia picha moja jamaaa alipomchoka mkewe alibadilishana na rafiki yake ili apate raza tofauti,
 
ahaaaaaaaa inafuraisha nakumbuka niliwai kuangalia picha moja jamaaa alipomchoka mkewe alibadilishana na rafiki yake ili apate raza tofauti,

duh umenikumbusha hivi ilikuwa inaitwaje tena???
 
nyumba ndogo muhimu, asikwambie mtu if you are a really man, you know wat i mean??, yeah pamo-jah.
Uhuru wa kuongea......na inategemea pia uchumi binafsi na suala ni je uchumi wa familia una surplus ya ku allow nyumba ndogo? Ikumbukwe kwamba nyumba ndogo matumizi yake ni makubwa kuliko nyumba kubwa.

Hivyo surplus ya uchumi ni kigezo muhimu katika hili. Haiwezekani watoto hawajaenda shule kwa kukosa ada halafu baba uko street una deal na machangu, itakuwa shame on you!!
 
Uhuru wa kuongea......na inategemea pia uchumi binafsi na suala ni je uchumi wa familia una surplus ya ku allow nyumba ndogo? Ikumbukwe kwamba nyumba ndogo matumizi yake ni makubwa kuliko nyumba kubwa.

Hivyo surplus ya uchumi ni kigezo muhimu katika hili. Haiwezekani watoto hawajaenda shule kwa kukosa ada halafu baba uko street una deal na machangu, itakuwa shame on you!!

we unataka kuwafurahisha tu wabeijing wa humu jamvini.

nyumba ndogo wala si gharama kubwa, fanya research utaona, utaalm wako tu mkuu. sasa kama si utaalam utapigwa chini mapema labda kama una ngawira......... na hapo ndipo atakapokuchuna haswa hadi ujute kumfahamu huku kuna kajamaa kengine pembeni kanamsawazishia mambo ya mila
 
G.S
Asante kwa maelezo mazuri

Huyu 1st lady mwingine kaibukia wapi!? JF kuna 1st lady mmoja tu haiwezekani wakawa wawili ;). Hebu tafuta jina jingine na hili la 1st lady umuachie mwenyewe original...just thinking aloud!...LOL! :)
 
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wanaume walioa siku hizi wanapowatangoza wanawake huanza kuwaponda wake zao kwa kudai kuwa wake zao ni washamba,hawana mvuto...mara mwingine utasikia mara ohoo yaani simpendi kabisa siku hizi mke wangu,yaani sijui hata kwanini nlimuoa..wengine wanadai oho mke wangi nililazimishwa tu kumuoa ila mimi wala simpendi mimi nakupenda wewe...mwingine utasikia wewe unafana sana na meko wangu ila wewe mzuri zaidi na unaakili zaidi ya mke wangu...

Hii inaweza kusababisha yule unayemtongoza akamdharau mkeo if they will gwt time to meet..au anaweza kumsahau hata kama hamfahamu.
Jamani hivi kwani unapomtongoza mtu ni lazima useme haya?hakuna maeneo mengine mazuri ya kumuapproach huyu mrembo mpaka ummuingize mkeo?

Enyi wanandoa fanyeni yote but have atleast a minimum respect to ur wives..

Wanawake (wake) wenyewe wakiwa wanafikiri kama hivi hata sishangai kwa nini wanadharaulika.
 
Kila siku nawaambia msioe wala kuolewa hamsikii. Shida zote hizi za nini sasa? Umeoa au umeolewa lakini bado unataka kutoka nje ya ndoa. Kwa nini usiingie kwenye hiyo ndoa tokea mwanzo na ukaishi kwa uhuru na kufanya upendacho bila hofu yoyote?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom