What if ni Non-removable battery?Demu akiingia tu geto au wee ukienda kwake toa betri kwenye simu yake ya Tach ( smartphone ) yasikukute makubwa
What if ni Non-removable battery?
Switch offWhat if ni Non-removable battery?
Na je kama hatakiSwitch off
Poa sana manMkuu, [HASHTAG]#Joseverest[/HASHTAG],
Mkuu, leo umewaza hakika kama GT / ST.
Pokea kabisa like .
Kwani na sisi tutaingiaje geto na kademu kama kawewe ili iweje sasa.....? au kuangalia mpira. Sisi tunaingia gheto na watoto mashalaah wenye sura zao na vyura vyao.asa mrekodiwe nyie mna nini...tunarekodi watu wenye wazfa tu kama chibu