Acha kabisa hii tabia kwenye simu yako

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
757
Umechoka tabia ya kuchaji simu mara tatu kwa siku ? Unajua akuna anayependa kumiliki simu ambayo aikai na chaji.

ni muhimu kuokoa maisha ya betri kuondokana na mambo ambayo yanaweza kuleta athari ya kuchaji kila mara.fanya mambo yafuatayo kuongeza maisha ya betri kwenye simu yako

1) ๐—”๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿต๐Ÿฌ%
sio lazima kuchaji simu yako mpaka 100% kila wakati.unaUuweza kuondoa chaji ikifika asilimia 90% tu kwani itaondoa uwezekano wa kuchaji simu kupita kiasi au kuzidisha joto itakusaidia kulinda maisha ya betri la simu yako.

3) ๐—ฃ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ ๐˜€๐—ฎ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ด ๐— ๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ
Watu wengi hawatumi power saving mode ila hawajui kuwa inawasaidia sana kuokoa maisha ya betri la simu yako. wale watu wa kutumia sana mitandao ya kijamii, kucheza game, kutizama movies itafanya simu kudumu muda mrefu.

4) ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—ต๐—ถ ๐—ฝ๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—–๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ
kutumia kila chaji au kila usb kuchaji simu zetu inaonekana kama ni wazo zuri lakini kunaweza leta athari ya kudumu kwenye maisha ya betri. Hakikisha chaji unayotumia ni kampuni husika au ikiwa kampuni nyingine ni original ili kulinda maisha ya betri sio kutumia kila chaji.

5) ๐—ข๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—ต๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ
unajua program nyingi zilizopo kwenye simu huwa zinatumia chaji hata kama hutumi watu wengi hawajui hii. sasa ili kulinda afya ya betri lako ni muhimu kuondoa app ambazo sio muhimu au hutumi kwenye simu pia punguza app zilizopo Kwenye home screen.
images%20(91)%20(17).jpg
 
Na pia usipende sana kutumia chaja za kwenye magari au mabasi haya ya kisasa hizo chaja zinaua sana battery kuna watu wanapenda sana wakipanda tu mabasi na kuanza kuchomeka simu zao mi hua nawaangaliaa wanajiona wajaanja nawaacha kama walivyo ni bora utumie chaja hizo kwa simu za vitochi kuliko smartphone.
 
Infinix ipi hiyo?
Infinix nyingi zina 6000mAh battery mfano hizi hapa chini zote zina 6000mAh
Infinix Hot 30
Infinix Smart 7
Infinix Hot 12
Infinix Hot 12 Play
Infinix Hot 10 Play
Infinix Hot 20
Infinix Smart 4 plus
Infinix Hot 10S
Infinix Smart 5
Infinix Smart 4
Infinix Note 13
Infinix Hot 14
Infinix Hot 11 Play
Infinix Smart 5 Pro
Infinix Note 14
Infinix Note 14 Pro, etc

Kama unataka simu inayokaa na chaji kuliko hizi tafuta Samsung Galaxy M51 ina 7000mAh
 
๐šˆ๐šŠ๐šŠ๐š—๐š’ ๐šœ๐š’๐š–๐šž ๐šข๐šŠ ๐š”๐š ๐šŠ๐š—๐š๐šž ๐š‘๐šŠ๐š•๐šŠ๐š๐šž ๐™ฝ๐šŠ๐š™๐šŠ๐š—๐š๐š’๐š ๐šŠ
 
๐šˆ๐šŠ๐šŠ๐š—๐š’ ๐šœ๐š’๐š–๐šž ๐šข๐šŠ ๐š”๐š ๐šŠ๐š—๐š๐šž ๐š‘๐šŠ๐š•๐šŠ๐š๐šž ๐™ฝ๐šŠ๐š™๐šŠ๐š—๐š๐š’๐š ๐šŠ
Huu ni ushauri mkuu, hujapangiwa kuwa ni lazima uufuate
Kwa tulioona busara ndani ya ushauri huu tutaufuata, we endelea kutumia simu yako unavyotaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom