Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 757
Umechoka tabia ya kuchaji simu mara tatu kwa siku ? Unajua akuna anayependa kumiliki simu ambayo aikai na chaji.
ni muhimu kuokoa maisha ya betri kuondokana na mambo ambayo yanaweza kuleta athari ya kuchaji kila mara.fanya mambo yafuatayo kuongeza maisha ya betri kwenye simu yako
1) ๐๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ถ๐บ๐ ๐ถ๐ธ๐ถ๐ณ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ต๐ฌ%
sio lazima kuchaji simu yako mpaka 100% kila wakati.unaUuweza kuondoa chaji ikifika asilimia 90% tu kwani itaondoa uwezekano wa kuchaji simu kupita kiasi au kuzidisha joto itakusaidia kulinda maisha ya betri la simu yako.
3) ๐ฃ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ ๐๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด ๐ ๐ผ๐ฑ๐ฒ
Watu wengi hawatumi power saving mode ila hawajui kuwa inawasaidia sana kuokoa maisha ya betri la simu yako. wale watu wa kutumia sana mitandao ya kijamii, kucheza game, kutizama movies itafanya simu kudumu muda mrefu.
4) ๐ง๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ถ๐น๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ๐ต๐ถ๐ต๐ถ ๐ฝ๐ฎ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ
kutumia kila chaji au kila usb kuchaji simu zetu inaonekana kama ni wazo zuri lakini kunaweza leta athari ya kudumu kwenye maisha ya betri. Hakikisha chaji unayotumia ni kampuni husika au ikiwa kampuni nyingine ni original ili kulinda maisha ya betri sio kutumia kila chaji.
5) ๐ข๐ป๐ฑ๐ผ๐ฎ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐บ๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐๐ผ ๐ต๐๐๐๐บ๐ถ
unajua program nyingi zilizopo kwenye simu huwa zinatumia chaji hata kama hutumi watu wengi hawajui hii. sasa ili kulinda afya ya betri lako ni muhimu kuondoa app ambazo sio muhimu au hutumi kwenye simu pia punguza app zilizopo Kwenye home screen.
ni muhimu kuokoa maisha ya betri kuondokana na mambo ambayo yanaweza kuleta athari ya kuchaji kila mara.fanya mambo yafuatayo kuongeza maisha ya betri kwenye simu yako
1) ๐๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ถ๐บ๐ ๐ถ๐ธ๐ถ๐ณ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ต๐ฌ%
sio lazima kuchaji simu yako mpaka 100% kila wakati.unaUuweza kuondoa chaji ikifika asilimia 90% tu kwani itaondoa uwezekano wa kuchaji simu kupita kiasi au kuzidisha joto itakusaidia kulinda maisha ya betri la simu yako.
3) ๐ฃ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ ๐๐ฎ๐๐ถ๐ป๐ด ๐ ๐ผ๐ฑ๐ฒ
Watu wengi hawatumi power saving mode ila hawajui kuwa inawasaidia sana kuokoa maisha ya betri la simu yako. wale watu wa kutumia sana mitandao ya kijamii, kucheza game, kutizama movies itafanya simu kudumu muda mrefu.
4) ๐ง๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ถ๐น๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ๐ต๐ถ๐ต๐ถ ๐ฝ๐ฎ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ
kutumia kila chaji au kila usb kuchaji simu zetu inaonekana kama ni wazo zuri lakini kunaweza leta athari ya kudumu kwenye maisha ya betri. Hakikisha chaji unayotumia ni kampuni husika au ikiwa kampuni nyingine ni original ili kulinda maisha ya betri sio kutumia kila chaji.
5) ๐ข๐ป๐ฑ๐ผ๐ฎ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐บ๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐๐ผ ๐ต๐๐๐๐บ๐ถ
unajua program nyingi zilizopo kwenye simu huwa zinatumia chaji hata kama hutumi watu wengi hawajui hii. sasa ili kulinda afya ya betri lako ni muhimu kuondoa app ambazo sio muhimu au hutumi kwenye simu pia punguza app zilizopo Kwenye home screen.