Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
Mhhhh! Watu wenye NGEKEWA zao za kupendwa!!! Hongera zenu
ha haaaaaaaa, umeona eeeh!
ngoja nimwambie teja naye asikilize hiki kibao
Last edited by a moderator:
Mhhhh! Watu wenye NGEKEWA zao za kupendwa!!! Hongera zenu
he he heeeeeeeeeeeee, umeona sasa? acha kabisa mambo ya kudhani watu hutakuja kukutana nao kuomba msaada, lol!mhh! snowhite atanisaidia kweli baada ya kumsema kuwa anapenda 3some? nahisi nimetukana mamba kabla _________. ngoja ntamuuliza
mhh! snowhite atanisaidia kweli baada ya kumsema kuwa anapenda 3some? nahisi nimetukana mamba kabla _________. ngoja ntamnunulia kadi ya "im sorry" na chocolates, pengine atanijibu
lakini kumbuka mimi ntakua na wewe wewe na yeye. poa? miaTutafanya 3some karibu.....
lakini kumbuka mimi ntakua na wewe wewe na yeye. poa? mia
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
This is the so called naked truth.... sina cha kuongeza mkuu AshaDii. "Umeongea kama mwanume vile"...Yaani umeuvaa uhusika... Unajuwa wanawake wengi hawaelewi hili na akishajuwa kuwa mwanaume wake katoka nje anadhani kuwa yule wa kando ndo anapendwa zaidi yake nk...Ukweli wakati mwingine mwanaume anaweza kuwa na huo mpango kando lakini wala akili haiko huko. Issue hapa ni Tamaa tu.
Mimi ni mwanaume pia nashangazwa na haka kaugonjwa ka kutamani nje japokuwa mtu unakuwa umeoa au upo kwenye serious relationship. Binafsi ninampenda sana mke wangu sipo tayari kushuhudia hata siku moja ndoa yangu ikivunjika lakini pia ninawatamani mabinti wengine (Siyo kwamba nawapenda hapana ni kwamba nawatamani tu)
Mi najua kwa unafiki wa binadamu huyu dada anaweza kurushiwa maneno sana na kila mmoja akijidai kuwa hapendi usagaji,lakini ukweli ni kuwa bora huyu amekuwa muwazi kuliko wengine wakikana hapa wakati wanafanya huko vichochoroni.
Binadamu ni wanafiki sana tena sana,huenda wasagaji wamejazana humu!
Kumbuka mafundisho ya dini yako yanasemaje?wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
Utakuwa siyo mzima sana. Kwa hiyo unatafuta justfication ya kusagana?
Huyu hajawa muwazi,ila anajaribu kutafuta suluhu ya haraka.......yaonekana anapenda sana kamchwzo ketu kakiutu uzima.Mbona kuna wanawake wengi tu broken heart lakini hawaja fikia kutaka kusagana?
Nani hapendi hako kamchezo ka kiutu uzima?
Na kupenda sana kwa kipimo gani?
Eeee Mwenyezi Mungu tuongoze!
Long time no see you my dada...Ana pole sana&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Sasa hapa sijakuelewa&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Wanaume ni stress sababu anawanawake wengi ama sababu kakudanganya? Ni wachache wenye kupenda mmoja na kugandana na huyo kila wakati. Ukweli ni kwamba mwanaume anaweza akwa na wanawake sita na akawapenda wote kabisa. Mwingine sababu anafurahia company, mwingine sababu wapo compactible on bed na mwingine sababu labda umemzalia mtoto ama watoto na ni mke na sababu nyingine nyingi tu. Is it right? Hapana! BUT bahati mbaya sana habari ndio hiyo...
Huwa nawashangaa sana wenye mapenzi ni almost perfect kila kitu kipo katika mstari but bado haridhiki na kutaka kuchokoa mengine zaidi ya hapo kwa kutafuta kasoro zilizopo! Ukiwa katika mahusiano, ukiona kila kitu kipo sawa na wafurahia mahusiano live the moment na ufurahie maisha (hope na wewe ulifanya hivo)&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];
For believe me you kuna wakati tu utafika utakuta kuwa hay ohayo mapenzi ni machungu hadi unajikuta unafungua thread kwa hasira na lawama nyingi or kufanya lolote lile mradi ujisikie amani. Kila la kheri kwenye kupoa&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];