Wanaume stress tupu!!

Wanaume stress tupu!!

wengine tuna mateja yetu!akha!twanuna tu usingizi ukitupitia,kisa umetupunguzia muda wa kuangakia macho!LOL!
AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA NA KUNIPA BARAKA YA KUUFURAHIA UANAMKE WANGU KIASI HIKI!
well said mlongo wangu.....kuna mateja haswaaaaaaaaaaaaaaa...... yaani hao hawaangalii kulia wala kushoto, ni macho mbele tu, lol!
 
AshaDii umenena vyema sana ila jamani naombeni nifunguke hapa kiualimu na chonde chonde mods msifute hii post wala kunilima ban lolest!

kwanza kabisa naomba nigeuke upande wa pili wa mtoa mada sitojadili kabisa matatizo ya wanaume ama ya upendo kwani waliotangulia wamesha sema.

dada hapo kinachokuongoza wewe ni hasira tena ambazo umezielekeza kwenye kutiwa kuliko kwenye kutafuta suluhu ya tatizo lako. umeweka moyo wako kwamba nimkomoe huyu bf kwa kupata mwenza ambaye atanipa raha tu na si kitu kingine zaid.

unapotamani kusagana na mwenzio kisa maudhi ya mwanaume nakutafsiri kwa namna mbili kwamba huyo mwanaume hakuwa anakutia vizuri so unataka kujaribu kutiana na msichana mwenzio ili upate raha stahiki na upande mwingine nakutafsiri kwamba ni tabia yako ya kusagana sasa gf wako wote wameshaondoka kundini so unataka ingizo jipya.

naamin katika furaha ya mtu ila siamini katika kupata furaha kinyume na taratizbu ambazo zimezoeleka na zinazoleta hisia mbaya maskioni mwa mtu. ni kweli kwamba utatumia dildo, mtasuguana visimi mtanyonyana nyuchi nk lkn ukasahau kwamba mwisho wa siku ungependa kuwa mahusiano ambayo hata mtu akikukuta mahali hata uliza kwann iko hivi. leo hii ukitoka na bf wako hata mkilaliana hadharani watu wataona poa tu ila ukiwa na msichana mwenzio mkakaliana kiasara tayari unageuka kuwa dar gumzo. kwangu mm huu ni ujinga na badala ya kujipa raha unajinyanyasa mwenyewe. mahusiano yasiyokuwa na amani bado ni mateso badala ya kuwa na raha. huwez ukarudi kwenu ukamwambia baba eti huyu ndo mume wangu (female) dah! sipat picha kwamba hata tu wazazi wako kuhisi kitu hicho kama utakuwa na amani nacho.

acha kuelekeza mawazo yako kwenye starehe ya kunyonywa kisimi na elekeza mawazo yako kwenye kupata amani nafsini iletayo raha. kukwaruzana kupo na hapo inakupasa ujifikirie unapitaje hapo na sio kufikiria kuuendea ubaya.

nisameheeni kwa kutumia lauagha ngumu.ila mwl huwa hana njia rahisi ya kuelewesha zaid ya kutumia mifano migumu.
another DOMPO dah!
 
THREAD INA NGUVU ZA GIZA NDANI YAKE..SI JAMBO JEMA HILO..MUNGU AWASAIDIE WADADA WASITEKWE NA STYLE HII YA KUTOKA KUZIMU MOJA KWA MOJA.😕:nimekataa
 
huna haya unahitaji maombezi tena ufunge siku saba umlilie muumba wako akusamehe mawazo haya machafu na ukome kabisa.Insanity girl
 
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
Hebu nitumie PM nikuunganishe na mdada mmoja hivi ni mzuri sana wa hii mambo hapa mjini......
 
Msalimie sana :majani7::majani7:, muulize dada yako FP inakuwaje anakuwa na tabasamu la nguvu hata usingizini? labda siri yake inaweza kukusaidia mlongo wake FP lol!

wengine tuna mateja yetu!akha!twanuna tu usingizi ukitupitia,kisa umetupunguzia muda wa kuangakia macho!LOL!
AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA NA KUNIPA BARAKA YA KUUFURAHIA UANAMKE WANGU KIASI HIKI!
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye red umenichanganya kidogo, ndo kusema wenzetu mna mioyo mingi? kama kila mmoja unampenda kwa moyo wote basi unahitaji mioyo mi3 kupenda wanawake wa3
wewe sema tu kuwa mna uwezo wa kuzuga kupenda kwa moyo wote kumbe hakuna kitu........
kuna ambao wanaambulia asilimia 0 kwenye huo mchanganuo wa kupendwa

Umenifurahisha sana mkuu!!
Ungejua mkuu jinsi baadhi ya wanaume walivyo na mapenzi wala usingeshangaa! yaani wakati mwengine hadi yanafurika
Mimi nashangaa kwa nini wanaume wanayabania2 mapenzi yao kwa wenzi wao !!
Kama mwanaume atakuwa na busara basi kila mpenzi alienae atampenda na kila mmoja atahisi anapendwa zaidi !!

Ila si washauri wanaume wenzangu kuwa na wapenzi wengi !!!
 
Da Aishadii ulianza vizuri sana kumshauri mwenzio lkn conclusion yako sjaielewa kabisa kiukweli!!!
 
Ana pole sana… Sasa hapa sijakuelewa… Wanaume ni stress sababu anawanawake wengi ama sababu kakudanganya? Ni wachache wenye kupenda mmoja na kugandana na huyo kila wakati. Ukweli ni kwamba mwanaume anaweza akwa na wanawake sita na akawapenda wote kabisa. Mwingine sababu anafurahia company, mwingine sababu wapo compactible on bed na mwingine sababu labda umemzalia mtoto ama watoto na ni mke na sababu nyingine nyingi tu. Is it right? Hapana! BUT bahati mbaya sana habari ndio hiyo...

Huwa nawashangaa sana wenye mapenzi ni almost perfect kila kitu kipo katika mstari but bado haridhiki na kutaka kuchokoa mengine zaidi ya hapo kwa kutafuta kasoro zilizopo! Ukiwa katika mahusiano, ukiona kila kitu kipo sawa na wafurahia mahusiano live the moment na ufurahie maisha (hope na wewe ulifanya hivo)…

For believe me you kuna wakati tu utafika utakuta kuwa hay ohayo mapenzi ni machungu hadi unajikuta unafungua thread kwa hasira na lawama nyingi or kufanya lolote lile mradi ujisikie amani. Kila la kheri kwenye kupoa…

Yaani AD umenifanya nicheke na at the same time kusikitika. Ulichoongea ni kweli 200% na hakuna ubishi. Ubarikiwe sana
 
Msalimie sana :majani7::majani7:, muulize dada yako FP inakuwaje anakuwa na tabasamu la nguvu hata usingizini? labda siri yake inaweza kukusaidia mlongo wake FP lol!
rafiki yangu BAK na mi ni mtu wa cheko ile mbaya!nakupa ruhusa umuulize dada mkubwa kitu atakwambia halafu utasema mwenyewe!lol!siye kucheka raha ati!
 
Last edited by a moderator:
kutedwa tunatedwa kila cku,tunadanganywa kila cku,bt cwez kufikiria huo ujinga hata cku 1!@mtoa mada,hapa umekosea sana.....wanaume wote wanafanana,cha msingi play u a part!

Haeleweki,achana nae utapata mwingine.Period
 
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane

Abeeee.. Eti umesemaje?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Umeongea vizuri sana mkuu,
Mimi labda niwatoe woga tu wanawake, ni kwamba wanaume wakipenda wanapenda kweli tena kwa moyo wote ila shida
iliyopo ni kupenda mmoja tuu katika life yake, hii inakuwa kama vile hajazitumia vizuri neema zilizopo (si vyema hata hivo)!
Lakini hali hii huenda inapungua siku hadi siku, akifikia kwenye (40-45) wengi huwa wanaanza kutulia na kuhudumia familia
zao ikiwa ni pamoja na kuhangaikia maakazi ada za shule n.k.
Ushauri
Kama upo kwenye uhusiano na mwanamme anakupenda mnapendana, endeleeni kupendana na jaribu kumuweka karibu
kisaikolojia hata ukihisi kuna kimada pembeni, usijaribu kumkorofisha utampoteza, na hata ukipata mwengine ni hayo2
na labda wa mwanzo anaweza akawa nafuu !!
Ukishindwa yote haya basi tafuta mzee, utapata akiwa ametulia, ila sijui kama utayapata vyema mambo yaleeeeeeee!!

Acha kutudanganywa wewe! We kama mkeo amekubali kukupeti peti ili hali anajua una kimada. Usi tu convince na sie lol.

Hakuna binadamu anaeweza kuenjoy mapenzi(kuwa kumfortable na mwenzi wake) ili hali akijua live anashea MaUTAMu na mtu mwingine.

Hao wanaojifanya wameridhika ni usoni tu .. Ila rohoni anajua ni namna gani anakuchemshia sumu akumalize kila mtu akose.

Ni hayo tu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wewe kweli uchizi umeshaupata yaani unataka usagane na mwanamke mwenzako kutatua tatizo la mwanaume wako??

Hovyo kabisa .....nina zako.............

Kwi kwiiiiiiiii .. Dena Amasi una zake nini ??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom